Karibuni wageni wote jamiiforums.

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Mambo vipi wageni karibuni sana kwenye huu mtandao.Ili uweze kukaa vizuri humu unashauriwa kupitia sheria za humu kwanza.Pia unatakiwa kutumia lugha ya heshima na adabu ambayo siyo kero kwa wengine.Ukivunja sheria za humu unaweza ukapigwa ban au ukafutiwa akaunti yako.Lakini ukifuata sheria utakaa na amani bila matatizo yoyote.Karibuni sana wageni.Mimi nikama mwenyeji wenu nipo tayari kuwapokea KARIBUNI SANA.
 
Thanks Sana sayansikim,tumekuelewa wageni na tumeelewa vizuri nama ya kuishi humu pia kuutumia uwanja huu kwa manufaa zaidi,vp kuhusu wale wasio tumia majina yao na hâta kutumia Nick name na badala yake hutumia majina kama SAYANSIKiM kama ambavyo wewe mwenyeji umefanya?
 

Humu unaweza kutumia jina lako halisi au nickname kama mimi natumia nick name.Mimi naona nikitumia nick name au jinabandia nakuwa huru zaidi.Lakini hata kama unatumia jina lako halisi hakuna ubaya wowote.Maana wapo wengi tu wanatumia majina yao halisi.Cha msingi tu ni lugha ya adabu na kufuata sheria za humu.
 

Wewe mwenyewe ulichelewa kupiga hodi, halafu unataka kukaribisha wageni!!! Haya majukwaa yana wenyewe Katavi, watu8, Ulimakafu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wewe mwenyewe ulichelewa kupiga hodi, halafu unataka kukaribisha wageni!!! Haya majukwaa yana wenyewe Katavi, watu8, Ulimakafu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Lakini si nimeshakuwa mwenyeji kwa hiyo ninavyovigezo vya kupokea wageni.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana ndugu ukalim ndio asili yetu watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…