Karim Benzema ahusishwa na kikundi cha kigaidi

Huko Pakistan, Afghanistan, na Somalia kinachosababisha wauwane wenyewe kwa wenyeweni dini na wanalipuana mpaka misikitini

Hauhitaji ufahamu mkubwa kuielewa hiyo dini kwamba ina mafundisho ya hatari

Hapa Tanzania kama siyo serikali kukomaa kule kule Kibiti kwa sasa kungekuwa Somalia ndogo.
 
Hii nchi haiwezi kushindwa kuwadhibiti hao WAPUMBAVU mnaowahofia... hii nchi ina Viumbe mafia asikwambie mtu!... tusemwe kwa mengine ila sio huko.

Wacha kabisa! 😳😳😳
 
jina linamaanisha udugu wa kiislam ila behind wana agenda ya ugaidi na mataifa ya magharibi yalishawaweka kwenye fungu la magaidi kwasababu walishafanya ugaidi misri na maeneo mengine duniani.

wagalatia bana muna vituko sana
 
wagalatia bana muna vituko sana
sasa wewe gaidi, misri wenyewe ambako ndiko ilianzia wamelipiga marufuku na kulitaja kama kundi la kigaudi, mataifa mengi ya kiarabu yanasema ni magaidi, halafu wewe wa manzese unakuja kubisha, utakuwa na akili timamu kweli?
 
sasa wewe gaidi, misri wenyewe ambako ndiko ilianzia wamelipiga marufuku na kulitaja kama kundi la kigaudi, mataifa mengi ya kiarabu yanasema ni magaidi, halafu wewe wa manzese unakuja kubisha, utakuwa na akili timamu kweli?

acha chuki ndugu
 
Kwani wakati bandari inauzwa usalama wa taifa walikuwa mgambo au trafiki?? Tuanzie hapo wewe na hao usalama wako
 
Kwani wakati bandari inauzwa usalama wa taifa walikuwa mgambo au trafiki?? Tuanzie hapo wewe na hao usalama wako
Wewe una ushahidi gani bandari imeuzwa?!

Wakikuchukua na kukufikisha kwenye vyombo vya sheria wakakupa option rahisi kabisa kwamba "tupe evidence kwamba bandari imeuzwa, tukihakiki na kama ni sahihi basi umeshinda tutakuacha uende zako na tutakulipa kwa usumbufu"

Una ushahidi huo we MPUMBAVU?!
 
Braza hili ni jukwaa huru nina haki ya kutoa maoni bila matusi wala lugha za vitisho ........MPUMBAVU NI BABA NA MAMA YAKO ..........WEWE KAMA NI NANI AU NANI PELEKA HUKO HUKO KWENYE MNAKO KUTANA NA LEO BAHATI YAKO SINA MOOD YA MATUSI ILA NINGEPIGWA BAN KWA AJILI YAKO KUKU MED WEWE
 
HUNA AKILI WEWE... TOA USHAHIDI UNAKURUPUKA KUSEMA UMETUKANWA...

GOOGLE MAANA YA MPUMBAVU UTAJIJUA KWAMBA NENO LINAKUHUSU WEWE... ALAFU BABA YANGU NA MAMA YANGU HAWAKUWA WAPUMBAVU. WALIJUA MAJUKUMU NA LENGO LA KULETWA KWAO DUNIANI..., NDO MAANA KIJANA WAO LEO HII NAWATENDEA HAKI WAJUKUU ZAO LEO HAWALALAMIKI.

TENGENEZA MAISHA UACHE UPUMBAVU! KAMA UNATAKA MATUSI HAPA NDO KWAO... WEWE TU 😊🖕🏾
 
Acha ujinga ,usalama wapo tena ni moja ya Idara yenye uwezo mkubwa kwenye huu ukanda wa Afrika .

Majasusi wa hapa achana nao kabisa kama unabisha we bisha tu.
We ni msengelema Nini?, Usalama wa Taifa wanashindwa kutambua matukio Kama ya kupigwa risasi kwa Tl?.
 
KATOOOOOOOOOOOOMBWE HUKO
 
Ni Mwarab sishangai
 
Hakuna muislamu ambaye analazimisha kafiri kama wewe kuwa muislamu. Ni ushamba wako na chuki dhidi uislamu tu ndiyo inakufanya uone unalazimishwa uingie kwenye uislamu
 
Hakuna muislamu ambaye analazimisha kafiri kama wewe kuwa muislamu. Ni ushamba wako na chuki dhidi uislamu tu ndiyo inakufanya uone unalazimishwa uingie kwenye uislamu
mimi sina chuki ndugu, nilikuwa nasema, hata wamisri ambao muslim brotherhood walianzia, wamewapiga marufuku na kuwaweka kwenye kundi la magaidi, hawaruhusiwi Misri, wewe wa mbagala ni nani sasa ubishe?
 
KATOOOOOOOOOOOOMBWE HUKO
Kamuone counsellor wa magonjwa ya akili na mifadhaiko inayotokana na uhaba wa ajira au ukosefu wa akili pana za maisha za kubuni namna ya kujikwamua maishani kutokana na kucheza na fursa au kutokuziona kutokana na kucheza shule.

POLE WE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…