Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benzema. Ila Benzema hana nidhamu ndo maana haitwi tena team ya taifa. Benzema alim-blackmail mchezaji mwenzake kwa mkanda wa ngono.Ukiangalia uwezo wa Oliver Giroud na uwezo wa Karim Benzema, Yupi anastahili kuitwa kuichezea Timu ya Taifa ya ufaransa?
Tutaaminije maneno yako?Benzema. Ila Benzema hana nidhamu ndo maana haitwi tena team ya taifa. Benzema alim-blackmail mchezaji mwenzake kwa mkanda wa ngono.
Benzema alitaka alipwe pesa ili asivujishe mkanda wa ngono wa mchezaji mwenzake wa France national team.
Huo ndo ukweli. Valbuena and Benzema sex tape. Google.Tutaaminije maneno yako?
Ni kweli mana tokea alivaa jezi ya ufaransa mwaka 2015 hajachezea tena,,,Wiki iliyopita kocha alimwambia asahau hatachezea tena timu ya taifa. Jana Benzema kaomba apewe ruhusa ya kuchezea nchi nyingine ili wajue kuwa bado anakipaji.Benzema. Ila Benzema hana nidhamu ndo maana haitwi tena team ya taifa. Benzema alim-blackmail mchezaji mwenzake kwa mkanda wa ngono.
Benzema alitaka alipwe pesa ili asivujishe mkanda wa ngono wa mchezaji mwenzake wa France national team.
Unakumbuka ya John Terry na Wayne bridge,, lakini bado Terry aliendelea kuchezea timu ya taifa.Benzema. Ila Benzema hana nidhamu ndo maana haitwi tena team ya taifa. Benzema alim-blackmail mchezaji mwenzake kwa mkanda wa ngono.
Benzema alitaka alipwe pesa ili asivujishe mkanda wa ngono wa mchezaji mwenzake wa France national team.
Naona kocha tu ana mapenzi ya kweli na Giroud mana yupo radhi kumuita Giroud hata kama anakaa benchi Chelsea kuliko kumuita Benzema hata kama alikuwa anakesi ya mahusiano miaka mitano nyuma.Benzema inamzidi vingi OG
Nikweli, wenzetu hawaangalii kipaji tu wanaangalia na nidhamu,mfano ni Raheem na GomezNaona kocha tu ana mapenzi ya kweli na Giroud mana yupo radhi kumuita Giroud hata kama anakaa benchi Chelsea kuliko kumuita Benzema hata kama alikuwa anakesi ya mahusiano miaka mitano nyuma.
FIFA inazuia mtu kama ulishacheza mechi official kwa taifa moja,huwezi chezea taifa jingine. Benzema imekula kwake. Kwanza hana nidhamu angekuwa mwingine wala asingejibidhana kwenye twitter. Angekuwa ana nidhamu angeandika barua Kwa French football Org na kuomba msamaha. Angetafuta kuwasiliana na kocha na kuomba msamaha,angeliomba taifa msamaha. Tatizo analeta kibri cha uarabu wa North Africa.Ni kweli mana tokea alivaa jezi ya ufaransa mwaka 2015 hajachezea tena,,,Wiki iliyopita kocha alimwambia asahau hatachezea tena timu ya taifa. Jana Benzema kaomba apewe ruhusa ya kuchezea nchi nyingine ili wajue kuwa bado anakipaji.
Terry itakuwa ana nidhamu aliomba msamaha. Tatizo Benzema kibri na hana nidhamu. Kwanza hata kuimba wimbo wa taifa alikuwa hataki,pia aliwahi kusema yeye anapenda Algeria,France ni taifa lake kimchezo tu.Unakumbuka ya John Terry na Wayne bridge,, lakini bado Terry aliendelea kuchezea timu ya taifa.
Tanzania atakutana na SamataHuyu si aje tu kuchezea Tanzania!
Ndio mkuu maana itabidi asubiri Samatta aumie, na Samatta akiumia mara nyingi anacheza Ditram Nchimbi.Tanzania atakutana na Samata
Na Juma Mgunda hawezi kumuitaNdio mkuu maana itabidi asubiri Samatta aumie, na Samatta akiumia mara nyingi anacheza Ditram Nchimbi.
Wachezaji wengi wa ufaransa wenye asili ya Algeria uwa wanakuwa na kibri si una mkumbuka Samir Nasri akiwa katika ubora wake naye akuitwa timu ya taifa.Terry itakuwa ana nidhamu aliomba msamaha. Tatizo Benzema kibri na hana nidhamu. Kwanza hata kuimba wimbo wa taifa alikuwa hataki,pia aliwahi kusema yeye anapenda Algeria,France ni taifa lake kimchezo tu.
Sahihi. Mgunda haangalii sura maana huwa hatoi posa.Na Juma Mgunda hawezi kumuita
Ila nakumbuka pia alikuwa na kesi ya kutembea na msichana aliye under age, hiyo kesi pia alikuwepo Frank Ribery ndo maana hata Ribery nae alipigwa chini muda mrefuFIFA inazuia mtu kama ulishacheza mechi official kwa taifa moja,huwezi chezea taifa jingine. Benzema imekula kwake. Kwanza hana nidhamu angekuwa mwingine wala asingejibidhana kwenye twitter. Angekuwa ana nidhamu angeandika barua Kwa French football Org na kuomba msamaha. Angetafuta kuwasiliana na kocha na kuomba msamaha,angeliomba taifa msamaha. Tatizo analeta kibri cha uarabu wa North Africa.
FIFA inazuia mtu kama ulishacheza mechi official kwa taifa moja,huwezi chezea taifa jingine. Benzema imekula kwake. Kwanza hana nidhamu angekuwa mwingine wala asingejibidhana kwenye twitter. Angekuwa ana nidhamu angeandika barua Kwa French football Org na kuomba msamaha. Angetafuta kuwasiliana na kocha na kuomba msamaha,angeliomba taifa msamaha. Tatizo analeta kibri cha uarabu wa North Africa.