Karim Mandonga apigwa Kenya

Karim Mandonga apigwa Kenya

Mr Pixel3a

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
5,710
Reaction score
8,579
Hii imeenda, japo kinyonge Sana Mwanetu Mandonga😄😄😄
Screenshot_20230723-153611~2.png
 
Alipoenda Kenya kipindi kile wajanja wakamtumia kupiga hela saivi kapeleka mazoea kalambishwa sakafu.
 
Mandonga haishi utamu,japo la usalama wake ni kweli,huwezi pigana Mara mbili kwa wiki
Kila jambo lina ujio,
1. Kuja
2. Kuondoka.

Asijidanganye atakuwa hivyo daima,Ataisha utamu tu.
Wajanja ni wale waliomake wakati wapo kwenye peak pesa zinaluja pasina kujua zinapotokea, kisha wanazitumia vizuri kipindi cha kubaki jina tu
 
Back
Top Bottom