Karim Mandonga Mtu Kazi azawadiwa gari

Kibongo bongo, watu wanaopata umaarufu wa ghafla huwa kwenye peak kwa miezi kama 6 tu, baada ya hapo umaarufu hupotea...wako wapi sasa watu kama Pierre, Uchebe, Chikumbalaga aka Sukari yao, yule dogo wa Irudiweee...
Kuumaintain umaarufu ni very expensive mkuu,


Umaarufu wa watu kama Pierre liquid,Dr Shika na wengine hua ni umaarufu usio na mizizi imara na ndio maana hupotea kama harufu tu.
 
Umaarufu wa Kareem ni wa kufanya kazi tofauti na hao

Ni wangapi wanapigana masumbwi na sio maarufu kama ilivyo kwa Mandonga?

Watanzania tuna kawaida ya kuchoka mtu, kitu au vitu mapema...

Mathalani, idadi ya wanaomfuatilia bondia Mwakinyo kwa sasa hailingani na idadi ya wakati ule aliposhinda Uingereza...
 
Hata angepewa range rover iliyotoka 20 years ago ni upumbavu. Next time usiwe kama ling’ombe. Ishu sio brand wala model ya gari. Ishu ni for how long that car has been in use. Usitumie kichwa kama mfuko wa kubebea meno pekee.
Mbona ndio gari zinazouzwa hapa bongo
Vitz
Premio
Carina
IST
Spacio
 
Duh watu Bana.....

Ngoja mimi nifanye the needful kwa kumpongeza kwa ushindi (that is all that matters); Naona wazalendo wenzangu wamejikita kwenye kuchagulia watu zawadi za kutoa na wengine matumizi ya jasho lake la kupigwa masumbwi....

To each/his her own....
 
Jamaa kayaotea maisha,anajenga gorofa zuri tu moro hapo
 
Acheni uonho,mpaka.kadi nimeziona pale frolida moromajina kuanzia ile tako la nyani subaru na nadia kwemye kadi ni majina yake,kiwanja anacho jenga pia hati ina jina lake,acheni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…