Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Compertment syndromeWaliomfunga hogo ndo walimpatia ulemvu kama ilivyojieleza hapo juu .After bone fracture huwa wanafunga back slab (plaster za kawaida za Ku position eneo lililopata shida) kwa Siku kadhaa ili kuacha uvimbe upungue.baadae ndipo plaster ngumu hufungwa.unapofunga na eneo ambalo mfupa umevunjika kwa plaster ngumu moja kwa moja na pakiwa pamevimba unabana mishipa ya damu na unatengeneza gangrene.lna maana hakuna supply yeyote hivo ni lazima pataoza. Mwisho wa siku wanafanya amputation.
Ukiingia nayo ntakupa kipondo,We chiba we chiba hebu acha magongo ngongo....
Mm ningekuwa kwenye position ya Saidi na mungu akanishauri kati ya uwezo wa kuona na hivyo vitu ni kipi nachagua, ningemuomba anirudishie uwezo wangu wa kuona. Losing a vital sense like sight is no easy thing and material things can't compensate. May god grant him acceptance so he can live his new life to the fullest[emoji120]Mungu fundi sana jamani,huyu kijana sasa anaishi vizuri kuliko alivyokua na miguu miwili
Ni kama kijana saidi,mungu kampa mitihani halafu kamnyanyua kimaisha,bajaji mbili,boxer4 na nyumba,asingepofuka asingeyapata yote hayo
Kweli ww ni kapombe hujui hata thamani ya macho kwa mwanadamuMungu fundi sana jamani,huyu kijana sasa anaishi vizuri kuliko alivyokua na miguu miwili
Ni kama kijana saidi,mungu kampa mitihani halafu kamnyanyua kimaisha,bajaji mbili,boxer4 na nyumba,asingepofuka asingeyapata yote hayo
AmenMm ningekuwa kwenye position ya Saidi na mungu akanishauri kati ya uwezo wa kuona na hivyo vitu ni kipi nachagua, ningemuomba anirudishie uwezo wangu wa kuona. Losing a vital sense like sight is no easy thing and material things can't compensate. May god grant him acceptance so he can live his new life to the fullest[emoji120]
Nimejaribu kuonesha majaribu ya mungu_akichukua hiki anakupa kile,au huamini katika mlango mmoja ukifungwa unafunguliwa mwingine?Kweli ww ni kapombe hujui hata thamani ya macho kwa mwanadamu
Unajaribu kulinganisha hvyo vimali na kupofuka macho..!!!!!!!
AmenNi budi yetu kumtukuza Mungu
Hakuna ulinganifu hapo, macho ni kitu kingine mzee. Tuendelee kumlaani tu Scorpion maana hata Saidi apewe bilion 10 hawezi kuenjoy nazo tena, ni afadhali Chiba anayeonaNimejaribu kuonesha majaribu ya mungu_akichukua hiki anakupa kile,au huamini katika mlango mmoja ukifungwa unafunguliwa mwingine?
Mkuu ukitumia "Wengi ni wapumbavu" inakuwa haijatulia much 'better you say' Baadhi yao..kuna madaktari wana 'malpractice' hiyo ni kweli Na Baadhi wanafanya kazi zaidi ya Kuji 'sacrifice' Mf. Ni marehemu. Dr Masau aliyekuwa daktari bingwa magonjwa ya moyo muhimbili national hospital...Na Kuna madaktari ambao ni hadhina ya taifa sitapenda kuwataja Na nina Hakika Katika safari zetu Za kimaisha si wewe au mimi ipo siku tutakutana au Jamaa zetu nao..... wanaweza kutufanyia vitu vizuri Na vyenye Msaada Mkubwa Katika Maisha yetu ambavyo hatuwezi hata kuvipima KWA thamani ya pesa au kitu chochote chanye thamani zaidi ya kusema asante Mwenyezi Mungu KWA kumleta huyu mwanadamu duniani.Madaktari wengi wa kibongo ni wababishaji sana,yani wa nafanya vitu kipumbavu kabisa,nakumbuka nilivokua mdogo niliungua sana mguu kuanzia kwenye paja mpka kwenye ugoko lakini kwa upande wa nyuma,nilipelekwa hospital,wale madaktari walivyowapumbavu wakanifunga mi baddage can u imagine kwenye kidonda cha moto,yani mguu ulinitesa hatari alioza ulikua unakuja hatari,nakumbuka na Mimi wazazi wangu na madaktari walishakubali nikatwe tu mguu maana haukua na dalili za kupona kabisa,Mshua ye alikua ladhi kabisa Bi Mkubwa kidogo alikua na wasiwasi,
Kipindi hicho nlikua nakaa Ngara na kwa bahati mzuri ninkipindi cha vita ya Rwanda na Burundi kwa hiyo mashirika ya wazungu walikua mengi,kuna mama mmoja wa shirika mmoja linaitwa gtz alikua rafikiake sana mama,aliwaomba madaktari anipeleke ujeruman wakajaribu kabla ya kukatwa,yani German si kukaa hata wiki 3 nlikua nshapona wiki ya NNE nkarudi home kuendelea na shule.