"KARMA IS ALIVE" Najiskia hukumu


Sahv sijutii mkuu ukikua right[emoji23][emoji23]
 
Unajua maana ya Karma?.
Subiri mwanamke unaempenda akiliwa na mtu ndo utajua maana ya Karma
 
Wewe kwann unaleta mazoea ya ukaribu na mke au mwanamke wa mwenzako....?!
 

πŸ‘ πŸ‘ πŸ‘
 
Mwanaume kifua. Ukioa na ukigonga nje mbona huwa mnakataa si mnajua mtafanya destructions kwny mioyo ya wenzi wenu? basi piga kimya utamtesa kisaikolojia mshkaji wako urafiki unaweza ishia hapo maana kila siku umamgongea demu zake,utamfanya mpk asioe kabisa.
 
Stupid fool
 
We kajinga sana,hope sasa hivi utakuwa umekomaa kiumri na kiakili.
Yaani ulale na mtu alafu ikusumbue hivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…