MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Staki kuandika sana but nobody is perfect, binadamu ndivyo tulivyo na maisha ndivyo yalivyo.
Kwani before hujamkopesha iyo 500k yeye hakuwahi kukusaidia hapo kabla na umesema kabisa alikua mtu wako wa karibu au wewe ndo ulikuwa rafiki yake ila yeye hakuwa rafiki Yako?
Kwani before hujamkopesha iyo 500k yeye hakuwahi kukusaidia hapo kabla na umesema kabisa alikua mtu wako wa karibu au wewe ndo ulikuwa rafiki yake ila yeye hakuwa rafiki Yako?