KARMA - Kidamali: Wewe Mwenyewe Ndiye

Je, bado nina haki ya kumchukia mama Maila ama niwe mpole kama mfalme Daudi?

  • Una haki ya kumchukia (we all have a past lakini alichokifanya sicho)

  • Unavuna ulichopanda (It's Karma!)

  • Nipo katikati (Matukio hayana uhusiano kwangu; so reaction zote mbili naziona justified)

  • Sijui (bado sijaamini kilichotokea, nimeshindwa kutafakari, ...)


Results are only viewable after voting.
Sema neno mkuu...


But why...

- Kwa nini karma iniadhibu zaidi ya niliyofanya wakati wa ujana (foolish age)?

- Kwanini karma isiangalie ambavyo nilibadilika na kuwa mume mwema baada ya kumuoa mke wangu ikakumbuka uovu tu?
Kwani ulitubu?
 
Kama kila mtu angekua na hofu ya kutomtenda mwingine vibaya dunia ingekua sehemu nzuri sana ya kuishi. Nawaambiaga watu kabla hujamtendea mwingine kitu jiweke nafasi yake kwamba ukifanyiwa wewe utapenda? Kama hutapenda basi usimfanyie
 
Nimemquote Ney kitu kama hicho cha usimtendee mwingine usichopenda kutendewa nakuta na wewe umeandika hapa. Na nimejua leo kumbe inaitwa GOLDEN RULE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…