Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
1. Walisimamia waliyoyaamini bila kuyumba.
2. Walipinga Kiongozi wa umma kujilimbikizia mali kwa wao kuwa mfano.
3. Walitoa kauli au matamko yenye msimamo mmoja.
4. Waliheshimu viongozi waliowateua.
5. Hawakuwahi kubagua watu kwa makabila, dini, mila, ukanda nk.
2. Walipinga Kiongozi wa umma kujilimbikizia mali kwa wao kuwa mfano.
3. Walitoa kauli au matamko yenye msimamo mmoja.
4. Waliheshimu viongozi waliowateua.
5. Hawakuwahi kubagua watu kwa makabila, dini, mila, ukanda nk.