Karne hii vifaru basi, huko Gaza vinabomolewa kuliko Ukraine

Karne hii vifaru basi, huko Gaza vinabomolewa kuliko Ukraine

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Asee huko Gaza kuna rundo la vifusi na skrepa za vifaru, hamasi wanavibomoa sana. Kwanini media za kimagharibi hazitangazi kama zilivyotangaza vya Urusi kule Ukraine?


Hata vifo vya Waisraeli ni vingi mno, kama Israel iliweza kushinda waarabu miaka ya 60 kwa vita vya siku 6 imekuwaje mgambo tu ambao wako kwenye wilaya ndogo kama Kigamboni wanashindwa kuiteka?

Kila ukiskia taarifa za habari utasikia mapigano makali yaendelea huko Gaza 🤣🤣😏 nacheka kwa dharau.

Jeshi bora duniani linashindwa kuiteka wilaya inayolindwa na migambo? Israel hamna kitu ni sifa tu.
 
Pole mkuu, endelea kujitekenya na kucheka. Ila kuwa Kama mtu WA KUBETI.

Maana, kubeti hata Kama unaipenda timu yako ikiwa inakutana na mpinzani ambaye anamzidi ubavu, itakulazimu kuichinja timu yako ili mkeka usichanike.

Myahudi ni kiumbe kingine kabisa. Mda ni mwalimu,ila usitangulize chuki.
 
Ingekuwa gaza inaongoza kwa ushindi unaousemea basi viongoza wa hamas wasingekuwa Qatar wangekuwa Gaza
20231124_095157.png
 
😂😂😂😂😂,jamaa anamihemko ya kiimani ukute.
Ila pole yake.na bado watakachokifanya Israel nadhani itakuwa fundisho kwa chuki za kijinga
Hawa tena sahizi moto utawaka Euro nzima, jana Ireland kuna muhamiaji wa kialgeria kafanyia ugaidi watu Netherland aliyeshinda uchaguzi anapinga dini
 
Pole mkuu, endelea kujitekenya na kucheka. Ila kuwa Kama mtu WA KUBETI.

Maana, kubeti hata Kama unaipenda timu yako ikiwa inakutana na mpinzani ambaye anamzidi ubavu, itakulazimu kuichinja timu yako ili mkeka usichanike.

Myahudi ni kiumbe kingine kabisa. Mda ni mwalimu,ila usitangulize chuki.
Kiumbe gani bila Marekani anapigwa na hao mgambo tu
 
Wanasema wameizingira kigamboni yote ila Cha ajabu mwezi wa pili Sasa unaenda kuisha hatuoni ht maiti Moja ya hamasist ...

Ni aibu Kwa Israel na wafuasi wake wa kwamtogole
Hata mm nashangaa, mbona waliozingizwa hawajakubali kuweka silaha chini? Kama wameizingira wasingekubali kusimamisha mapigano
 
Dunia ya sasa, teknolojia imekuwa saana, mavifaru haya yanaelekea ukingoni, kila silaha ina era yake.
 
Aisee..
Hao washindi wanaishi kwa mtindo wa nungunungu ndani ya mashimo.
Halafu mashimo yana malango ndani ya hospitali na misikitini
 
Wewe,Marekani kivp!
Kiumbe gani bila Marekani anapigwa na hao mgambo tu
.
Mh!,Kumbe mkuu hujui vingi.
Unajua Kama hao Wayahudi ndo viumbe hatari zaidi katika kuvumbua tekinorojia lakini!.
Mashabiki ya Kati,ni Nchi za kiarabu tu.Wale wowote,wanamtegemea Irani.
Ila kiufupi huyo Iran Hana uwezo WA kuifuta Israel ktk uso WA Dunia Kama anavojitanabahisha.
Ila Kuna uhasama Kati ya Marekani na Irani.
So,hao Hamas,Hezbola wote wanafadhiliwa na Irani.

Kiukweli myahudi sio wa mchezo
 
Wanasema wameizingira kigamboni yote ila Cha ajabu mwezi wa pili Sasa unaenda kuisha hatuoni ht maiti Moja ya hamasist ...

Ni aibu Kwa Israel na wafuasi wake wa kwamtogole

Mmeanza maneno baada ya ceasefire haya bwana.
 
Asee huko Gaza kuna rundo la vifusi na skrepa za vifaru, hamasi wanavibomoa sana. Kwanini media za kimagharibi hazitangazi kama zilivyotangaza vya Urusi kule Ukraine?


Hata vifo vya Waisraeli ni vingi mno, kama Israel iliweza kushinda waarabu miaka ya 60 kwa vita vya siku 6 imekuwaje mgambo tu ambao wako kwenye wilaya ndogo kama Kigamboni wanashindwa kuiteka?

Kila ukiskia taarifa za habari utasikia mapigano makali yaendelea huko Gaza 🤣🤣😏 nacheka kwa dharau.

Jeshi bora duniani linashindwa kuiteka wilaya inayolindwa na migambo? Israel hamna kitu ni sifa tu.

Tunasubiri siku jeshi la IDF litakapoanza kuasi kusonga mbele na kushindwa kusajili askari wapya kutokana na hofu kama ilivyo kule Ukraine.
Hayo ni matokeo ya vita vya muda mrefu ambavyo Israel hawajawahi kupigana.
 
Tatizo Hamas ni wanamgambo wengi wana silaha na hawana uniform, wapo tu uraiani wamechanganyika na raia, hili ni tatizo kubwa, what would you do?, kutwanga tu kwa jet fighter!
 
Wewe,Marekani kivp!

.
Mh!,Kumbe mkuu hujui vingi.
Unajua Kama hao Wayahudi ndo viumbe hatari zaidi katika kuvumbua tekinorojia lakini!.
Mashabiki ya Kati,ni Nchi za kiarabu tu.Wale wowote,wanamtegemea Irani.
Ila kiufupi huyo Iran Hana uwezo WA kuifuta Israel ktk uso WA Dunia Kama anavojitanabahisha.
Ila Kuna uhasama Kati ya Marekani na Irani.
So,hao Hamas,Hezbola wote wanafadhiliwa na Irani.

Kiukweli myahudi sio wa mchezo
Hii propaganda mzee, najua vingi mno
 
Asee huko Gaza kuna rundo la vifusi na skrepa za vifaru, hamasi wanavibomoa sana. Kwanini media za kimagharibi hazitangazi kama zilivyotangaza vya Urusi kule Ukraine?


Hata vifo vya Waisraeli ni vingi mno, kama Israel iliweza kushinda waarabu miaka ya 60 kwa vita vya siku 6 imekuwaje mgambo tu ambao wako kwenye wilaya ndogo kama Kigamboni wanashindwa kuiteka?

Kila ukiskia taarifa za habari utasikia mapigano makali yaendelea huko Gaza 🤣🤣😏 nacheka kwa dharau.

Jeshi bora duniani linashindwa kuiteka wilaya inayolindwa na migambo? Israel hamna kitu ni sifa tu.

vipi kuhusu drones. manake westbank na Gaza wamekuwa wakilalamika kuwa drone ya Israel imekuja na kupiga nyumba ya mtu fulani. hizo nazo vipi?
 
Tatizo Hamas ni wanamgambo wengi wana silaha na hawana uniform, wapo tu uraiani wamechanganyika na raia, hili ni tatizo kubwa, what would you do?, kutwanga tu kwa jet fighter!
Mbona wapo wengi tumeona jana wakiachia mateka
 
Back
Top Bottom