Mnalaumu upandaji wa ada huku mkisahau mfumuko wa bei!
Ukipiga mahesabu kuanzia mwaka huu mwanzoni hadi sasa vitu vilivyopanda bei utawaelewa wenye shule....shule nyingi (kama sio zote) za binafsi zimepandisha ada kuanzia mwakani (ambazo hazijapandisha ni zile za kulipa kwa US$).
Ukipiga mahesabu kuanzia mwaka huu mwanzoni hadi sasa vitu vilivyopanda bei utawaelewa wenye shule....shule nyingi (kama sio zote) za binafsi zimepandisha ada kuanzia mwakani (ambazo hazijapandisha ni zile za kulipa kwa US$).