View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Masharti ya kubakia kwenye utumishi wa Mungu yalimshinda kwa mambo kama haya ya kutetea waharifuFr Karugendo, baba tupe mrejesho wa uzoefu wa maisha,, kuishi Parokiani kama Paroko na uraiani ukiwa baba wa familia(wewe sio mlei)
Unadhani mama angeagiza fasta uchunguzi kufanywa pale BOT bila kuona moshi mweusi?Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
Mahakamani kufanya nini huyo ni kutengua ukatibu mkuu kiongozi arudi kufundisha tuMwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
Ukiona mtu unatamkiwa mabaya na watu ujue una mabaya mengi sana umejichafua mwenyewe
Wengi hamjamuelewa aliekua Padri KarugendoKarugendo na bashiru wote ni nshomile lazima wateteane tu
View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Masaliaya timu jiwe yanaondoshwa yootesiasa za fitna hazinaga maisha marefu.
Safari hii imeanza vizuri sanaMama amedai matumizi ya serikali,January to March,2021. Kama mko safi, kwa nini mnakanyagana... Lissu alinyimwa fedha matibabu kwa sababu hakufuata utaratibu... Mama naye anadai utaratibu....hatutaki kuona malipo ya "masangoma"
Mimi nitaendelea tu siku zote kuwaombea njaa ya kugawana hiki chama chenu, then tuanze upya kama Taifa. Na kama mtanusurika na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kugombania madaraka ndani ya chama chenu kabla ya 2025, basi itachukia miaka mingi mbele hiki chama chenu kuja kufa rasmi.
Kila mtu abebe mavuno yake, watu huku twala ugali na chumvi wengine wakwapua mapesa, Kama kweli abebe mzigo wake hakuna utetezi hapa, serikali sio nyepesi Kama tujitoavu akili, binfsi mahela mengi Kama y'all wapeleka wapi Kama ni kweli, ujinga mtupuView attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Huyu Karugendo na Bashiru wana jjua sio raia. Sasa wasubiri tuweke taarifa zao mezani. Karugendo kama upadri ukimshinda akatimuliwa unategemea kichwa chake kiko sawa?View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
View attachment 1736895
Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.
Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.
Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.
Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.