Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

1616948251303.jpeg

View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
 
Fr Karugendo, baba tupe mrejesho wa uzoefu wa maisha,, kuishi Parokiani kama Paroko na uraiani ukiwa baba wa familia(wewe sio mlei)
Masharti ya kubakia kwenye utumishi wa Mungu yalimshinda kwa mambo kama haya ya kutetea waharifu
 
Naiona vita ya umakamu ikichukua next step full kuchafuana...
Bashiru hawezi kuwa fisadi na kamwe hatowahi kuwa hivyo....watu wenye staili na mbinu za kuchafua wenzao wanajulikana toka 2005....
They are back with a full force...
 
Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
Unadhani mama angeagiza fasta uchunguzi kufanywa pale BOT bila kuona moshi mweusi?
 
Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
Mahakamani kufanya nini huyo ni kutengua ukatibu mkuu kiongozi arudi kufundisha tu
 
1616948372204.jpeg

View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
 
Hilo liko wazi kuna watu wanaamini Bashiru akiendelea kuwa kwenye utawala huu mambo yao hayataenda...so wanamchafua makusudi, usafi wa Bashiru watu hawapendi
 
Mama amedai matumizi ya serikali,January to March,2021. Kama mko safi, kwa nini mnakanyagana... Lissu alinyimwa fedha matibabu kwa sababu hakufuata utaratibu... Mama naye anadai utaratibu....hatutaki kuona malipo ya "masangoma"
Safari hii imeanza vizuri sana
 
Mimi pia nawaombea hivyo.
Mimi nitaendelea tu siku zote kuwaombea njaa ya kugawana hiki chama chenu, then tuanze upya kama Taifa. Na kama mtanusurika na vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kugombania madaraka ndani ya chama chenu kabla ya 2025, basi itachukia miaka mingi mbele hiki chama chenu kuja kufa rasmi.
 
Hapa ndio tunapata kujua umuhimu wa katiba ya wananchi...

Haya yote yasingetokea kama yule jamaa wa mhimili uliojichimbia angekua na mahali pa kuwajibishwa kikatiba na sio kila kitu kujiamulia yeye

Kama katiba ina ombwe hakuna mahali pa nani amuhoji nani bali kuna wanaohojiwa na kuwajibishwa na kuna wengine hawagusiki (hawahojiwi wala kuhojiwa)

Na ndio hapa tutakuja kuona umuhimu wa katiba maana kila anayetoka akija anavumbua uchafu wa aliyepita je kulikua na nini hawa hawakuchukuliwa hatua wakiwa bado vitini ! Jibu ni katiba iliwapa uhuru sana!
 
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Kila mtu abebe mavuno yake, watu huku twala ugali na chumvi wengine wakwapua mapesa, Kama kweli abebe mzigo wake hakuna utetezi hapa, serikali sio nyepesi Kama tujitoavu akili, binfsi mahela mengi Kama y'all wapeleka wapi Kama ni kweli, ujinga mtupu
 
Hana, analo. (Kiswahili cha pemba hicho) zaidi ya kumtetea mhaya mwenzie. Alifukuzwa na kanisa kwa aina ya mafundisho yake. Atulie mama afanye kazi. Mbivu na mbichi zitajulikana tu.
 
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
Huyu Karugendo na Bashiru wana jjua sio raia. Sasa wasubiri tuweke taarifa zao mezani. Karugendo kama upadri ukimshinda akatimuliwa unategemea kichwa chake kiko sawa?
 
Anaonewa au haonewi, muda peke yake ndiyo msema kweli:

Hizi tuhuma dhidi ya Dr. Bashiru kama zina chembe yoyote ile ya ukweli, basi lazima ashitakiwe kwa kosa la Kupanga na kuratibu Uhaini dhidi ya Jamhuri (Conspiracy to Commit Treason) na uhujumu uchumi (Economic Sabotage). Kama tuhuma hizi hazina ukweli, basi Serikali lazima itoke kukanusha, jambo ambalo mpaka sasa haijalifanya, kitu ambacho kinaendelea kuzipa hizi habari uhalali (Validity) mkubwa.
 
Huyu Pudure vipi.....unamyamini binadamu was miguu 2!
View attachment 1736895

Naungana na Karugendo kukemea siasa za kundi la 'mama '.

Tusirudi kwenye siasa za kuchafuana mwisho wa siku tutagawana chama. Kama unaunda timu yako unda hii ni serikali yako usiwachafue watu kwa kuwa unawaona threat kwa siasa zenu za kishkaji na kuganga njaa.

Watu wapo clean na awana haja ya kufanya kazi na 'incompetent'.

Mwisho wa siku iwe isiwe kazi itaendelea. Muda ndio utazungumza.
 
Back
Top Bottom