KARUME yuko LONDON kisiri siri

KARUME yuko LONDON kisiri siri

Nyerere bwana, kila akitaka kwenda nje ya nchi lazima taifa lijue, hebu ni kwanini hakwenda kimyakimya? Daa!!!
 
naona maada imegeuka ghafla..jaman hata sisi tutaelekea hukohuko naomba tumhukum mzee wetu kwa mazuri mengi aliyolifanyia taifa letu na sio kwa kujenga hoja kama hizo...ni kitu cha kawaida mtu kuhamishiwa Bugando hospital kwenda Muhimbili...Why not nyerere kuhamishiwa London baada ya madaktari wake kuadmit hivyo???
 
Siku ya kuagana na aliyekuwa governor wa mwisho nchini Tanganyika Sir Edward Twining, Waziri mkuu Bw. Julius Nyerere alimwambia
“ Nenda kisha urudi baada ya miaka 10 uje uone maendeleo ya haraka nchi ya Tanganyika itakayokuwa nayo” badala ya kuleta maendeleo hasa katika huduma ya tiba hali ilizidi kudorora baada ya siasa zake za kutaifisha. Mwaka 1971 shirika la msamaria mwema lilimaliza hatua ya kwanza ya ujenzi wa hospitali kubwa ya KCMC ambayo ingetoa tiba za aina zote pamoja na kuwepo na madakitari wanaotembea kwa ndege kutibu wagonjwa ambao wako maeneo yasiyofikika kwa barabara. Mwaka huo huo serikali ikataifisha hospitali ya KCMC, hivyo awamu ya pili ya upanuzi ukawa ndiyo mwisho wake. Nyerere afya yake ilipodorora ilibidi apelekwe London kwa matibabu, Bahati mbaya na kwa fedheha alifia kitandani mwa wakoloni mjini London wakati aliwapa wakoloni miaka 10 waje waone maendeleo ya Tanganyika baada ya kupata uhuru na kuwa chini ya utawala wa waafrika. Lakini bado hata sasa viongozi wetu bado wanadumisha fedheha hiyo ya Nyerere kuhenyea matibabu nje ya nchi.
 
Siku ya kuagana na aliyekuwa governor wa mwisho nchini Tanganyika Sir Edward Twining, Waziri mkuu Bw. Julius Nyerere alimwambia
“ Nenda kisha urudi baada ya miaka 10 uje uone maendeleo ya haraka nchi ya Tanganyika itakayokuwa nayo” badala ya kuleta maendeleo hasa katika huduma ya tiba hali ilizidi kudorora baada ya siasa zake za kutaifisha. Mwaka 1971 shirika la msamaria mwema lilimaliza hatua ya kwanza ya ujenzi wa hospitali kubwa ya KCMC ambayo ingetoa tiba za aina zote pamoja na kuwepo na madakitari wanaotembea kwa ndege kutibu wagonjwa ambao wako maeneo yasiyofikika kwa barabara. Mwaka huo huo serikali ikataifisha hospitali ya KCMC, hivyo awamu ya pili ya upanuzi ukawa ndiyo mwisho wake. Nyerere afya yake ilipodorora ilibidi apelekwe London kwa matibabu, Bahati mbaya na kwa fedheha alifia kitandani mwa wakoloni mjini London wakati aliwapa wakoloni miaka 10 waje waone maendeleo ya Tanganyika baada ya kupata uhuru na kuwa chini ya utawala wa waafrika. Lakini bado hata sasa viongozi wetu bado wanadumisha fedheha hiyo ya Nyerere kuhenyea matibabu nje ya nchi.

wakati huo wewe ulikuwa ukifanya nini ili nchi isiharibiike? au wewe nawe ni walewale waoga na wabinafsi kama kambona?
 
Siku ya kuagana na aliyekuwa governor wa mwisho nchini Tanganyika Sir Edward Twining, Waziri mkuu Bw. Julius Nyerere alimwambia
" Nenda kisha urudi baada ya miaka 10 uje uone maendeleo ya haraka nchi ya Tanganyika itakayokuwa nayo" badala ya kuleta maendeleo hasa katika huduma ya tiba hali ilizidi kudorora baada ya siasa zake za kutaifisha. Mwaka 1971 shirika la msamaria mwema lilimaliza hatua ya kwanza ya ujenzi wa hospitali kubwa ya KCMC ambayo ingetoa tiba za aina zote pamoja na kuwepo na madakitari wanaotembea kwa ndege kutibu wagonjwa ambao wako maeneo yasiyofikika kwa barabara. Mwaka huo huo serikali ikataifisha hospitali ya KCMC, hivyo awamu ya pili ya upanuzi ukawa ndiyo mwisho wake. Nyerere afya yake ilipodorora ilibidi apelekwe London kwa matibabu, Bahati mbaya na kwa fedheha alifia kitandani mwa wakoloni mjini London wakati aliwapa wakoloni miaka 10 waje waone maendeleo ya Tanganyika baada ya kupata uhuru na kuwa chini ya utawala wa waafrika. Lakini bado hata sasa viongozi wetu bado wanadumisha fedheha hiyo ya Nyerere kuhenyea matibabu nje ya nchi.

Heshima kwenu wakubwa,

Ushauri wa vigogo kukimbiziwa nnje kwa ajili ya matibabu huwa unatolewa na madaktari wao ambao pia hutoa recommendations as to which hospital inaweze kuwa na madaktari competent katika ugonjwa husika. Hao madaktari hufanya hivyo kwa kuona ukweli kwamba huduma zetu hapa.. ndio kama vile..kwa hiyo kama ni suala la uzalendo basi lianzie kwa hawa hawa madaktari kutoa ushauri wa vigogo kulazwa Mwaisela, ama Kibasila, wakipata matibabu hapo..kwa njia hiyo tutakuwa tumeonesha uzalendo halisi ikiwa ni pamoja a vigogo hao kufikiria kwa undani zaidi kuboresha huduma za afya nchini, kwa dhana ya kwamba na wao pia wanatibiwa humo humo..basi yapatikane matibabu bora zaidi, na sio bora matibabu..
 
Heshima kwenu wakubwa,

Ushauri wa vigogo kukimbiziwa nnje kwa ajili ya matibabu huwa unatolewa na madaktari wao ambao pia hutoa recommendations as to which hospital inaweze kuwa na madaktari competent katika ugonjwa husika. Hao madaktari hufanya hivyo kwa kuona ukweli kwamba huduma zetu hapa.. ndio kama vile..kwa hiyo kama ni suala la uzalendo basi lianzie kwa hawa hawa madaktari kutoa ushauri wa vigogo kulazwa Mwaisela, ama Kibasila, wakipata matibabu hapo..kwa njia hiyo tutakuwa tumeonesha uzalendo halisi ikiwa ni pamoja a vigogo hao kufikiria kwa undani zaidi kuboresha huduma za afya nchini, kwa dhana ya kwamba na wao pia wanatibiwa humo humo..basi yapatikane matibabu bora zaidi, na sio bora matibabu..


Tena Nyerere Uingereza aliongozana na Daktari wake wa miaka mingi... Dr. Mwakyusa (waziri wetu wa afya sasa)
 
thrtfm.gif


ilibidi watu watetee kidogo maana..
 
Kwani hizo gharama za matibabu wanalipa kwa pesa zao??? sasa akili ya kwenda kutibiwa Muhimbili au japo Agakhan itatoka wapi wapi wakati bill zote zinalipwa kutokana na kodi zetu sisi wadanganyika acha waende na kila kukicha tuko kwenye foleni muhimbi, temeke, amana au M'nyamala...

Ngoja tugome kulipa kodi tuone kama wataenda kutibiwa huko mamtoni...
 
...jaman hata sisi tutaelekea hukohuko naomba tumhukum mzee wetu kwa mazuri mengi aliyolifanyia taifa letu na sio kwa kujenga hoja kama hizo...???

Tumhukumu kwa mazuri?

Kuna hoja nyingine zimepinda mpaka Kiswahili kinakataa!
 
Other people bwana! Mada inahusu safari ya Karume London, lakini duh!

Ni kweli. Na labda sio kweli.

Mada ni hii hapa:

Ujumbe wake mzio ulijaa kwenye BA iliyoingia jana hapa London. Tatizo ni kuwa sielewi kaja kufanya nini na kwa manufaa yanani

au

Inawezekana kaja kufanya medical check up maan watawala wetu hawaiamini Muhimbili



Mtoa hoja amepanua duara la thread yake kwa hii sentensi ya pili. Isitoshe, inaonekana hamna mwenye uhakika na hii safari ya Karume. Majadiliano ya sentensi ya kwanza peke yake yatakuwa kwa kweli ni ku speculate. Au nakosea?
 
mkuu unaanza hata kuchambua typo?

Mwafrika wa Kike, ile siyo typo!

Anasema tumwangalie Nyerere kwa mazuri tu. Lakini hapo hapo anataka kuipa hiyo analysis ka hadhi ka objectivity kwa kuiita hukumu, au kumjudge, au kumu analyze. Lakini amesha funga hiyo analysis kwa kusema tuangalie mazuri tu. Inabidi umsome kwa makini ili umwelewe.

We unafikiri alitaka kusema nini pale kama ni typo?
 
Mwafrika wa Kike, ile siyo typo!

Anasema tumwangalie Nyerere kwa mazuri tu. Lakini hapo hapo anataka kuipa hiyo analysis ka hadhi ka objectivity kwa kuiita hukumu, au kumjudge, au kumu analyze. Lakini amesha funga hiyo analysis kwa kusema tuangalie mazuri tu. Inabidi umsome kwa makini ili umwelewe.

We unafikiri alitaka kusema nini pale kama ni typo?

Umekosoa kiswahili chake kwa kuweka red kwenye typo error na kisha ukasema hivi:

Kuna hoja nyingine zimepinda mpaka Kiswahili kinakataa!
 
..huyu amani daktari wake huwa yupo ujerumani....

..naona amewakimbia wafanyakazo kama rafiki yake jk..ambaye ndio ameingia jioni hii baada ya kukwepa risala za wafanyakazi..
 
Mimi nashauri watu kama Kuhani Mkuu kuwa makini na kuondoa watu katika mada .wachangiaji mnaweza pia kuachana na michango ambayo haiendani na mada na kumpa nafasi mtu kuanza mada yake .GT kasema anauliza kwa nini Karume yuko London na Taifa halijui ? Well Zenji ni kasehemu ka Tanzania na Karume si Rais bali ni mwenyekiti wa Baraza la Mapinzudi Zenji .Ndiyo maana hata Radio haitangazi mambo yake .Labda wamekuja kiumuoa Brown juu ya Muafaka who knows.
 
...Mtoa hoja amepanua duara la thread yake kwa hii sentensi ya pili. Isitoshe, inaonekana hamna mwenye uhakika na hii safari ya Karume. Majadiliano ya sentensi ya kwanza peke yake yatakuwa kwa kweli ni ku speculate. Au nakosea?

sasa kama duara la thread limepanuliwa mbona hawazungumziwi viongozi wote wanaotibiwa nje badala yake anashupaliwa mwalimu (rip) tu?

turudi kwenye mada na mwenye taarifa aeleze kulikoni mkuu kwenda london kwa safari bubu?
 
Ujumbe wake mzio ulijaa kwenye BA iliyoingia jana hapa London. Tatizo ni kuwa sielewi kaja kufanya nini na kwa manufaa yanani

au

Inawezekana kaja kufanya medical check up maan watawala wetu hawaiamini Muhimbili

Amekuja kufanya shopping ya nguvu, tena siku hizi hakuna sababu ya kwenda mbali kwani Selfridges na ubalozini ni mdomo na pua bila kusahau mitaa ya Bond Street na Regent.

Waacheni wafuje pesa ya walipa kodi maana hawawezi kuacha hadi UK wawapige marufuku kama Mugabe.

Sasa zinatafutwa picha kule ambako anajichana.
 
Back
Top Bottom