wangeruhusu kutumia pamoja na miguuu, cheka leo angerudi bila uti wa mgongo, au magoti yote yangekuwa mdebwedo. wengi ni maprofesional wa karate, na shaurin kong fu, sana tena, ila ukituambia tutumie za kulenga kwenye uso tu, unakuwa umetuonea, kwasababu kupigana kwa namna hiyo ni kwa kitoto. kick boxing ambayo huchezwa zaidi na watu waliowahi kucheza shotokan karate, na karate inafundisha speical areas za kumdunda mtu. mfano. chembe ya moyo, kwenye maini, na delicate areas nyingi sana. I tell you, if that cheka angekuwa anapigana kama kawaida tu kwa kutumia miguu, jikono,viwiko,visigino etc, ingekuwa kitu hatari sana kwake kwasababu yeye hicho hajasomea. kasema alifanya kitu cha hatari kwake kwa kuacha kile alichosomea ili atumie kile ambacho hakipo kwenye control ya mwili wake akijua anapigana na mtu ambaye yeye emesomea icho tu.
ile kwa kulinganisha, kati ya martial art zote, karate, combut, Tai kondo, kong fu etc, ndo the best of all. ngumi za kulengana uso ni utoto. manake mtu anakuletea mwili mzima na huruhusiwi kumpiga teke, wakati ktk karate etc, mtu akileta mwili kama wanavyoleta maboxer vile, hakika atajikuta amepaishwa na teke hatua mia hivi. na mchezo unaishia hapo. mpiga ngumi hawezi kupigana na watu zaidi ya watano, lakini karate man anaweza kupigana na watu zaidi ya watano peke yake. kwawaulize wachina, wajapan na wakorea.