Kaseja atua yanga kwa milioni 40

Unalaana ya kulala na mama yako kitanda kimoja na kuamka asubuhi ukiwa umemloesha nyuma(njia ya haja kubwa)

Kaka msamehe bure huyu jamaa !!! Nahakika katuboa ,ila nahisi atakuwa anameza cabamazapine!!!!D
 
Inawezekana wewe hujui historia za timu hizi mbili, simba ni timu ya waarabu na ndiyo maana mpaka leo kama huna kaka pale huchezi mwulize kaduguda atakueleza.
Mkuu labda useme SIMBA ilianzishwa na waarabu, ila kwa sasa inamilikiwa na wanchama, kama ilivo yanga ni timu iliyoanzishwa ikiwa na malengo ya kisiasa ndani yake, kwahiyo ukisema yanga inaundugu na ccm utakua hujakosea ingawa sasa ni ya wanachama.
 
Kasejaaa !!Hii ya kuwa na meneja ikaa vizuri, Usijepigwa changa la macho kama la Ngassa!!Elimu zenyewe za kuungaunga!na mikataba wakati mwingine imeandikwa kwa 'kidhungu' - Baadae wakileta longolongo we ulishaweka chako kibindoni zamanii!hawachelewi kuanza hao kama wanavyomsakama Bartez sasa! Ukiumaliza mzunguko wa pili salama shukuru Mungu!Hasa kwa 'difensi' ile vichochoro kibao!!!
 
Ni kweli usajili wa Kaseja yanga unatuacha na maswali kibao labda benchi la ufundi lina majibu mazuri katika hili lakini,kitendo cha kuongoza kwa bao TATU dhidi ya mahasimu wetu na magoli yoote kurudishwa hili ndo la ajabu zaidi,kama usajili huu umefanyika kuziba upungufu ule basi maswali na lakini lakini tulizonazo zitapungua.Manake tokea yatokee yalotokea siku ile Barthez anasugua mbao na si ajabu kaseja akawa mbadala wake,tusubiri atuonyeshe kivitendo,manake ana hasira za kuachwa ghafla sasa hasira zake zinaweza kua na faida kwetu ama hasara
 

kaseja ni babu aende tu
 
Ivi kuchangia kwa kutukana maana yake ni kwamba unauchungu sana na timu ama?
Ukiona mtu mnabishana baadae akanza kuingiza matusi, ameshindwa hana hoja ama hana jibu, mfano watu wakipigana anaepigwa ndio huwa bingwa wa matusi.
 

Barthez msimu uliopita alionyesha kiwango cha hali ya juu sana,msimu huu anaonekana amebweteka sana na amekuwa akifungwa magoli ya kizembe,tangu Dida amepewa nafasi nae ameonyesha uwezo mkubwa sana kumbuka kwenye mechi nne hajafungwa hata goli moja na inaonekana anajua kuwapanga mabeki wake vizuri tofauti na Barthez.Barthez huenda akaachwa yale magoli mechi ya Simba yatakuwa yamemponza.Kaseja still ni kipa bora hapa Tanzania Simba walifanya makosa sana kumuacha ingawa Yanga hawakuwa na umuhimu wa kusajili golikipa lakini still nafikiri atatoa msaada
 

Basi mpigwe tu
 
Anakinaisha magoli anayofungwa ya kimpampango. Amejishusha hadhi msije mtupia virago. Hakawi huyo kutenda maudhi
 
Kumbe umetoka mbali sana 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…