Kaseja kashafanya yake kuelekea mchezo wa Tanzania dhidi ya Kenya

Kaseja kashafanya yake kuelekea mchezo wa Tanzania dhidi ya Kenya

Manula alikuwa ampiga misumari Kakolanya, this time kakutana mbabe wake.
Walikuaga timu moja Wapi hawa ukiacha Simba ambako Kakolanya kajiunga juzi juzi?
 
Yametimia
IMG-20190728-WA0030.jpeg
 
Sasa haoni kama misumari ikizidi aishi mtamkosa hata kule unyamani?
Nadhani kakolanya ataziba pengo
Huyu aisha hata huku kwetu unyamani amekuwa anatucost wakati meingine, sema ndio hivyo tu kufa kwa waganga, watu watapungwa na walevi...

Bongo baada ya kaseja hatujapata tena golikipa bora tuna bora golikipa tu!!
 
Mambo mengine niyakipumbavu sana kuyaamini na kuyaandika mtu mwenye akili timamu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuelekea mchezo wa leo ambao tanzania itakipiga na kenya golikipa namba moja wa stars aishi manula karipotiwa kua majeruhi..

Kuna uzi wa mdau mmoja alileta kuwa kessy anampiga misumari kapombe, sasa leo hii mtoto wa kigoma juma kaseja kashafanya yake pia kwa aishi[emoji16][emoji16][emoji23]..kuna uwezekano mkubwa juma k juma akawa golikipa atakae iongoza tanzania kukipiga na kenya leo hii....

Kigoma hoyeeeeeView attachment 1165348
Ivi tanzania kuna kipa bora kama kaseja?
 
Let us assume kwamba hayo unayoyasema ni kweli.Kwanini Kaseja sio golikipa namba moja KMC?Golikipa namba moja ni mrundi Ntimana. Golikipa wa timu ya Taifa ya Burundi.Aron Kalambo wa Prisons ndio chaguo sahihi kwa Stars..Safari yetu bado sana.Nimesikia tetesi kwamba mlinzi Phil Jones wa Manchester United anamloga mlinzi mwenzake Eric Bailly.Ndio sababu anaumia kila mara.Bado nachunguza nani kamloga Mwantika kwani nae ni majeruhi.Ujahili kazi kweli kweli.
Angedaka Menata Mhata, hata AFCON alifaka moja. Kaseja kashapitwa na wakati. Na huo ushotii sasa. Kocha huyu nae kimeo. Timu imekaa ki- mikia mikia FC.
 
Ndio, Manula anaumwa mechi hii ya nyumbani basi Kaseja adake na kule Kenya tena ili kuondoa lawama.
Isije kuwa Kaseja anacheza mechi za nyumbani tu na za ugenini Manula.
 
Kaseja ni kipa bora lakin tunataka team ambayo miaka mitano ijayo itakua tishio..

Kwa kuwaweka kina kaseja inamaanisha tunaangalia game moja tu na sio maendeleo ya stars ya baadae
Ina maana juventus turin wanakosea kumuweka Buffon golini?
 
Back
Top Bottom