Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Tunae KakolanyaSasa haoni kama misumari ikizidi aishi mtamkosa hata kule unyamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunae KakolanyaSasa haoni kama misumari ikizidi aishi mtamkosa hata kule unyamani?
Walikuaga timu moja Wapi hawa ukiacha Simba ambako Kakolanya kajiunga juzi juzi?Manula alikuwa ampiga misumari Kakolanya, this time kakutana mbabe wake.
Nadhani kakolanya ataziba pengoSasa haoni kama misumari ikizidi aishi mtamkosa hata kule unyamani?
Na Kakolanya aliwapiga misumari Kindoki na Rostan.Manula alikuwa ampiga misumari Kakolanya, this time kakutana mbabe wake.
Kaseja anavyompiga misumari Manula wapo timu moja?Walikuaga timu moja Wapi hawa ukiacha Simba ambako Kakolanya kajiunga juzi juzi?
Ivi tanzania kuna kipa bora kama kaseja?Kuelekea mchezo wa leo ambao tanzania itakipiga na kenya golikipa namba moja wa stars aishi manula karipotiwa kua majeruhi..
Kuna uzi wa mdau mmoja alileta kuwa kessy anampiga misumari kapombe, sasa leo hii mtoto wa kigoma juma kaseja kashafanya yake pia kwa aishi[emoji16][emoji16][emoji23]..kuna uwezekano mkubwa juma k juma akawa golikipa atakae iongoza tanzania kukipiga na kenya leo hii....
Kigoma hoyeeeeeView attachment 1165348
Angedaka Menata Mhata, hata AFCON alifaka moja. Kaseja kashapitwa na wakati. Na huo ushotii sasa. Kocha huyu nae kimeo. Timu imekaa ki- mikia mikia FC.Let us assume kwamba hayo unayoyasema ni kweli.Kwanini Kaseja sio golikipa namba moja KMC?Golikipa namba moja ni mrundi Ntimana. Golikipa wa timu ya Taifa ya Burundi.Aron Kalambo wa Prisons ndio chaguo sahihi kwa Stars..Safari yetu bado sana.Nimesikia tetesi kwamba mlinzi Phil Jones wa Manchester United anamloga mlinzi mwenzake Eric Bailly.Ndio sababu anaumia kila mara.Bado nachunguza nani kamloga Mwantika kwani nae ni majeruhi.Ujahili kazi kweli kweli.
Kaseja ni kipa bora lakin tunataka team ambayo miaka mitano ijayo itakua tishio..Ivi tanzania kuna kipa bora kama kaseja?
Ina maana juventus turin wanakosea kumuweka Buffon golini?Kaseja ni kipa bora lakin tunataka team ambayo miaka mitano ijayo itakua tishio..
Kwa kuwaweka kina kaseja inamaanisha tunaangalia game moja tu na sio maendeleo ya stars ya baadae
Wapo timu ya Taifa ndio,Kaseja anavyompiga misumari Manula wapo timu moja?