mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Juma Kaseja ameanza kuchambua mechi za mpira kupitia kituo cha radio cha Clouds FM. Ikumbukwe pia Kaseja aliestaafu mpira msimu uliyopita, ana leseni ya ukocha wa makipa inayotambuliwa na CAF.
Unaonaje uwezo wa Kaseja?
Unaonaje uwezo wa Kaseja?