Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
begin there there alaah! lugha za watu hizo
wakemia hawanaga muda wa kuhakiki lugha. injinia soooma hiyooo interpre iterpretenureshhh eeeh hiyo hiyo mliyo sema. Maneno ya mzee babaHivi huwa hawahakiki kwanza kabla ya kuziweka hizo bidhaa sokoni au wote waliopo huko Dar Fresh ni vilaza?
Kunywa maziwa ulale we mbeba box mambo yako ya new jersey yaache kule.
Maziwa umenunua jero unataka ungenge fasaha?Km pesa ya semester imeisha rudi kwenu usiwape tabu watu na maisha yao
wakemia hawanaga muda wa kuhakiki lugha. injinia soooma hiyooo interpre iterpretenureshhh eeeh hiyo hiyo mliyo sema. Maneno ya mzee baba
😂😂😂Dumbass.
Kama kampuni hiyo ni ya Mtanzania usishangae maana kuna hotel kubwa mapokezi pameandikwa "RESEPCION"
😂😂😂
Unaanzaje kwanza kunywa Dar Milk🤣!
Maskini Tanzania?!?
Maskini Tanzania?!?
Hujanywa?so tunaongea hadithi?Nani kayanywa?
Hujanywa?so tunaongea hadithi?
Hamna ng'ombe hapo Dar ujue!
Labda hata hayo maziwa ni unga toka Guangzhou
Kwa sisi tusiojua kiingereza wala sijaona tofauti. Kwa tafsiri yangu anasema, maziwa ya Dar fresh yanatoka au kutengenezwa na Milkom Dairies, habari ya grammar tupa kule, havina msaada kwenye mawasiliano.I’m sorry if at times I come across as being too pedantic when it comes to English grammar and etc.
Sometimes I just can’t help it. I’m hardwired that way, I reckon.
Now look at this here! Where do I even begin?
View attachment 977572View attachment 977573
Kwa sisi tusiojua kiingereza wala sijaona tofauti. Kwa tafsiri yangu anasema, maziwa ya Dar fresh yanatoka au kutengenezwa na Milkom Dairies, habari ya grammar tupa kule, havina msaada kwenye mawasiliano.