Kasha la maziwa ya Dar Fresh

Kunywa maziwa ulale we mbeba box mambo yako ya new jersey yaache kule.
Maziwa umenunua jero unataka ungenge fasaha?Km pesa ya semester imeisha rudi kwenu usiwape tabu watu na maisha yao

Dumbass.
 
wakemia hawanaga muda wa kuhakiki lugha. injinia soooma hiyooo interpre iterpretenureshhh eeeh hiyo hiyo mliyo sema. Maneno ya mzee baba

Hahahaaaaaaa hivi hiyo ni kweli au watu waliifanyia ujanja kwa kuihariri ili itokee vile ilivyotokea?
 
Hilo ni soko linamilikiwa na serikali hata kama wanaoendesha hizo bucha ni watu binafsi.
 
Kwa sisi tusiojua kiingereza wala sijaona tofauti. Kwa tafsiri yangu anasema, maziwa ya Dar fresh yanatoka au kutengenezwa na Milkom Dairies, habari ya grammar tupa kule, havina msaada kwenye mawasiliano.
 
Kwa sisi tusiojua kiingereza wala sijaona tofauti. Kwa tafsiri yangu anasema, maziwa ya Dar fresh yanatoka au kutengenezwa na Milkom Dairies, habari ya grammar tupa kule, havina msaada kwenye mawasiliano.

Grammar haina msaada kwenye mawasiliano?

Aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…