Mh hii sijaisikia bado hebu nipe link yakeNaomba kuuliza wadau hivi ile story ya mwenzetu mmoja rafik yake alivozalishwa hospitalini na dokta wa kiume halafu akamzimia sana dokta hadi akawa analia kua anampenda sana na ilihali ana mme wake ...imekuwaje ??
Ngoja niitafute mkuu....huyo dada ambae ndo best yake huyo mwanamke hakurud kuttupa mrejesho kwamba ilikuwaje. Sasa sjui ndo hizi dalili kuna wakat through pregnancy na kuna zile baada ya kujifungua sjui wanaitaje kitaalamu.Mh hii sijaisikia bado hebu nipe link yake
utamu wake ulikuwa hapa sasa yeye na kiumbe wake aliembeba..!!huwaambii kitu michapo ya kutwanzima utapewa kwa bashasha kabisaHahhahahaaaa daily kavu na ndizi 3 kachumbari kwa wingi pilipili na limao kwa sanaView attachment 368810
Acha kabisa hii maneno
Kuteseka ni lazima kwa mama hata kwa baba pia
Huruma zaidi huja pale mimba inapomgeukia baba na kuwa kama yeye ndio kaibeba! Yaani vichefu chefu vyote yeye malimao mbilimbi na ubuyu ni yeye. .huwa inatia huruma mno
HII IMESHANITOKEA AUGUST 2010 - APRIL 2011, USIOMBE MWANAUME IKUPATE! NILIKUWA NATEMBEA NA NDIMU AU LIMAU KWENYE SURUALI.
-mkeo anaweza kupoteza hamu kabisa ya tendo la ndoa!
NDIYO MTIHANI WANGU WA SASA!
Nitaongeza uvumilivu!
Ulitakiwa kwenda kumtafutia embe lenye rangi na ukubwa kama ulilokula. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku shemeji yenu aliniamsha satisa usiku nimpikie chai kisa nlikula embe lake mchana... Nlitaman nimpeleke kwao kwa muda.
mimi nilidhani ubuyu wa instagram!Ah mie embe hapana nilikuwa napenda ubuyu..... Kipindi hicho ofisi iko karibu na imalaseko supermarket.....asubuh napitia ubuyu wangu....unaliwa mpaka nikitoka. Napitia pweza na supu yake....nikifika nyumbani barafu natafuna mpaka meno yanakufa ganzi......ila sasa haya yote siwezi kuyafanya....mimba kiboko.....
Hapana................mimi nilidhani ubuyu wa instagram!
Hapana................
haha natumaini mmeongeza siku za kuishi![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yani huyu jamaa anawaza ubuyu wa insta tu..........[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sana tu mana kipindi hicho insta hata siijui.........haha natumaini mmeongeza siku za kuishi!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Mimba acheni tu.....me zinanipa kisirani na hasira za kufa mtu....pia nmetokea kuwachukia Sana wanaume na nnahasira nao balaaaa