Kasheshe vituko na vitimbwi vya mimba

Kasheshe vituko na vitimbwi vya mimba

mi wangu mimba ina miezi saba sasa kashaniambia kitambo hana hamu na mimi wala na hicho kitendo kwa hiyo nisimsumbue kwa vyovyote,mbaya zaidi kasema nikitaka kwenda nje niende tu yeye hana habari na mimi kabisa..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] watu na bahati zao! Subiri ajifungue uone
 
Ikitokea mimba ikaupenda mchepuko ni sheeedah....
 
nilishafungishwa safari za kwenda kula kitimoto na bia karibu kila siku,ole wangu nichelewe kurudi ntaulizwa maswali hayo kazi itatukanwa hiyo ila nikifika home tu ghafla unageukwa tena kunawakati nilishafanywa house boy kabisaaa,mpaka wakumougesha..!!!sema kwa sehemu kubwa nilikuwa na enjoy hivi vituko but sometime ilikuwa too much unaweza kufatwa pahala uko na washkaji ukaamuliwa kama mtoto "wewe haya inuka haraka tangulia nyumbani"tena mtu kafura balaa hata washkaji hakuna anaeguna ila kesho ndio story na utani kweli kweli
Hahahahshs[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Siku shemeji yenu aliniamsha satisa usiku nimpikie chai kisa nlikula embe lake mchana... Nlitaman nimpeleke kwao kwa muda.
Weee jamaa hamnazo kabisaa,hahahahaaaaa,yaani kula embe lake ndo umeamshwa usiku umpikie chai,tehtehtehe ndo ukome siku ingine kudandia vitu vya wenyewe.
 
Weee jamaa hamnazo kabisaa,hahahahaaaaa,yaani kula embe lake ndo umeamshwa usiku umpikie chai,tehtehtehe ndo ukome siku ingine kudandia vitu vya wenyewe.
Usimcheke wala kumshangaa mimba zina mambo ya ajabu sana
 
Hapo kwenye wivu ndo palifanya nikajuta kwa nn alibeba mimba yangu.... Nilikua naishi kama kuku vile hata kutoka naogopa
 
Weee jamaa hamnazo kabisaa,hahahahaaaaa,yaani kula embe lake ndo umeamshwa usiku umpikie chai,tehtehtehe ndo ukome siku ingine kudandia vitu vya wenyewe.
Acha tu ndugu yangu. Sikudhani kama yangenikuta hayo ila kuanzia hiyo siku nilikoma kabisa.
 
Acha tu ndugu yangu. Sikudhani kama yangenikuta hayo ila kuanzia hiyo siku nilikoma kabisa.
ila umenifanya nimecheka sana kwa kweli,lakini uzuri na wewe kuna kitu umejifunza hapo kutoka kwa hawa wenzetu wanapokuwa katika hali hiyo hata kama inatokea kwa mtu mwingine au rafiki yako unaweza kumshauri ni kwa jinsi gani ya kumuhandle mama mjamzito hasa kwenye masuala ya vitu kama hivyo wanavyovipenda kula wanapokua katika hali kama hiyo.
 
ila umenifanya nimecheka sana kwa kweli,lakini uzuri na wewe kuna kitu umejifunza hapo kutoka kwa hawa wenzetu wanapokuwa katika hali hiyo hata kama inatokea kwa mtu mwingine au rafiki yako unaweza kumshauri ni kwa jinsi gani ya kumuhandle mama mjamzito hasa kwenye masuala ya vitu kama hivyo wanavyovipenda kula wanapokua katika hali kama hiyo.
Ikishafika hiyo stage hata kama unajifanya kauzu we kua mpole tu kama konokono anaetaka kumwagiwa chumvi.

Huwez amini nlikua na hasira ila nlivunga kama vile mefurahia kuamshwa kupika chai usiku huo, tena nkampoozeshea kabisa na akanywa ndo tukaendelea kulala.

Yani hawa wenzetu acha tu kabisa maana sijui akili zinahama au ni vipi.
 
Mimba ya kwanza nilikuwa nasahau na kupotea njia ya kwenda nyumbani kila siku. nashuka kwenye daladala naanza kujiuliza niende upande gani? Nikiwa naendesha napitiliza au naenda different direction. Ikabidi nipunguze safari na zile za muhimu niende na mtu wa kunikumbusha njia. Cha ajabu sikuwa nasahau vitu vingine.

Mimba ya pili ilikuwa ni kulia all the time, mahali popote muda wowote nilianza kulia bila sababu. Kilio kiliweza last a few min to a few hours. Athubutu mtu kuniuliza nilikuwa nalia nini kilio kilianza upya.

Namba tatu nilikuwa nakula barafu/ ice lollies na chumvi. Muda wowote ule asubuhi, mchana, usiku, barabarani, nyumbani ofisini. Vigari vya azam vilinijua. Au ningegandisha soda sprite au ginger ale nimechanganya na chumvi. Kwa sababu nilikuwa na watoto wengine wadogo ilibidi nijifiche wasinione nikila barafu. Chumbani, kwenye gari, chooni, nje ya fence.
 
Naomba kuuliza wadau hivi ile story ya mwenzetu mmoja rafik yake alivozalishwa hospitalini na dokta wa kiume halafu akamzimia sana dokta hadi akawa analia kua anampenda sana na ilihali ana mme wake ...imekuwaje ??
 
Duh mkuu uko sahihi kabisa nina GF ni mjazito kwa sasa ayo yote uliyoyataja ndiyo yanayo tokea kuna wakat nakasirika mpaka nataman kumkimbia
Mimba yake imenichukia kweli kweli
 
Back
Top Bottom