Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
really the picrure is nit reachable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
really the picrure is nit reachable
Hiyo Picha haipatikani, inasema forbidden URL.
Lazima pia ukumbuke kuwa ile ilikuwa talaka moja, na ina maana yake. Yaani kwamba kuna kila uwezekano wa kurudiana tukimaliza tofauti zetu ama ukijirekebisha ama kwasababu moja au nyingine mume akibadilisha uamuzi wake. Kwa mfano, mwanamke wa Ki-Islam akipewa talaka moja haruhusiwi kuolewa ama kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mwingine. Hiyo inaitwa kwa maneno ya mtaani, talaka rejea. Ukipewa tatu, ndio biashara imekwisha kabisa na hata mume akitaka kuwa na wewe tena haruhusiwi mpaka mwanamke awe ameolewa na kuachwa na mwanamme mwingine. Kwahiyo, hata kama ile talaka moja bado ilikuwa inasimama, bado mwanamme anatambuliwa kuwa mume wa marehemu!
mr clean
Kwakweli hii picha INATISHA, hasa ukizingatia mtu katembea na mkeo then anamuua, haitoshi aje msibani akukumbatie!
Huyu jamaa ni MAFIA, nasikia amekwenda kumwibia Mpakanjia simu kule Iringa, kwa kufuta ushahidi wa meseji ambazo alikuwa anachati na mkwewe pia alizotumiwa kumfariji mfiwa, mkwewe angali hai!
Huyu bwana ana ties kubwa sana na UWT............. so mambo mengine unaweza kujaza mwenyewe