Tanzania Njema.
Hata mtililiko wa mada umevurugwa heading inasema Kashfa Nzito kwa Chifupa na Zito. jee Zitto kafanya kitendo cha kashfa na maiti au marehemu? kichwa cha habari hakimvutii mtu mgeni JF kuisoma. pili itampa taabu msomaji mgeni kuelewa somo lilivyounganishwa.
Adm.
Naona umevurunda sana. kichwa cha habari hakiko sawa na kuna maneno mtu unaweza kuyasema akiwa hai na mara akifa huwezi kuyasema. mtoto wa Amina au kaka yake au mdogo wake apite JF katika kipindi hiki akute kichwa cha habari hapo juu " Kashfa nzito Amina na Zito" watajisikiaje? hatuwatendei haki ndugu wa Amina, marafiki na wapenzi.
Naomba irudishwe kama mwanzo au ifungwe, heading yake haiuwiani na maudhui ya michango ya huku mbeleni. sisi sote tutakufa si vizuri kuwabeza maiti.