Nagutombele nokho nashik'aha?sawa, endelea kwwenda polepole peke yako , si na mimi. maana eleimu yako ndogo tu ya Tengeru tayari ushajua wakurugenzi wote na nmna makaimu wanavyoteuliwa kwa kubebwa. Endelea na mwendo wako
Kwani anaishi angani? tafuteni kwake kisha mmwagieni kinyesi cha binadamu tena uharo. atajirekebisha tuHuyo msajili wa bodi ya nyama anaitwa Imani Sichalwe, namfahamu vizuri sana alikuwa mwalimu wangu chuo cha mifugo Tengeru, kwa kweli alikuwa katili tangu akiwa chuoni hapo, uliza mwananchi yeyote aliyepitia pale LITI TENGERU miaka ya 2000 na kadhaa atakupa habari! Ajirekebishe bwana gentleman kabisa unakuwa mpuuzi namna hiyo? Ni mtu anayeamini katika mabavu! Nafasi yenyewe kwanza kaipata kwa kubebwa, dadake alikuwa mkurugenzi hapo wizara ya mifugo ndiye aliyemmegea pande hilo!
Ni upuuzi kusubiri kuitwa shujaa kwa kuzima moto ulio uwasha mwenyeweMkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Mkoa wa Dar es Salaam, Adrew Majaliwa amezuia operesheni zote zinazofanywa na Bodi ya Nyama Tanzania kwa wafanyabiashara wa machinjio ya Vingunguti wanaouza nje ya machinjio pamoja na wasiokuwa na vifungashio maalumu vya kubebea...
Safi sana lete story mkuuHuyo msajili wa bodi ya nyama anaitwa Imani Sichalwe, namfahamu vizuri sana alikuwa mwalimu wangu chuo cha mifugo Tengeru, kwa kweli alikuwa katili tangu akiwa chuoni hapo, uliza mwananchi yeyote aliyepitia pale LITI TENGERU miaka ya 2000 na kadhaa atakupa habari! Ajirekebishe bwana gentleman kabisa unakuwa mpuuzi namna hiyo? Ni mtu anayeamini katika mabavu! Nafasi yenyewe kwanza kaipata kwa kubebwa, dadake alikuwa mkurugenzi hapo wizara ya mifugo ndiye aliyemmegea pande hilo!
Kuna bodi ya maziwa pia, nchi hii ni tatizo, bodi kila kona hatuoni wanachokifanya zaidi ya hizi comedy, na serikali haiwezi kuziendesha sababu ya ufinyu wa rasilimali fedha basi wanataka kujiendesha kwa gharama zao kutupiwa mfanyabiashara.Nimesikitishwa na taarifa ya kitendo cha uporaji wa nyama kule vingnguti.Ila nikaanza kujiuliza majukumu ya board ya nyama yanatofautiana vipi na majukumu ya afisa afya wa halmashauri.kwanini issue kama ya ubora wa nyama yasishughulikiwe na mamraka ya chakula na dawa au TBS kupia ofisi ya afya za Halmashauri.Najiuliza tuu kule lukuledi hawa board ya nyama wanafikaje kucheki ubora wa nyama...
Mwache tu mkuu atajifunza tu! Ubaya haulipi!Kwani anaishi angani? tafuteni kwake kisha mmwagieni kinyesi cha binadamu tena uharo. atajirekebisha tu
Kwani ameenda wapi mh. Rais mkuu?Tunakuomba urudi Rais wetu, tumeshaanza kuonewa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]; yaani askari wanafanya ujmabazi? Nani atawakamata?
Huyo jamaa inaonyesha anaroho mbaya sana hata hicho Kinyesi kinaweza kukataa kukataa kumwagikia kwa hofu ya kupanda najisiKwani anaishi angani? tafuteni kwake kisha mmwagieni kinyesi cha binadamu tena uharo. atajirekebisha tu
Unamuuliza nani?
Imepotelea tumboniHa ha ha ila polisi bana sasa nyama ya kimeta imepotelea wapi?