Kashfa ya Bil. 40Tshs Magereza: Matumizi ya Mkataba wa Mfumo wa Usajili wa Wafungwa

Mambo ya perception vs. reality.....

Mimi nadhani rais atawasamehe kama wakikubali kurudisha hizo pesa kinyemela ref Kikwete). Hawa watu ukiwakamata uchumi wa nchi unaweza kuyumba (ref Punda). Mambo ya jeshi hayajadiliwi na miradi ya jeshi ni siri haitakiwi kujadiliwa na chombo chochote nchini (Pinda).

Naomba Mh Anna Makinda asizimishe hoja hizi zikiletwa ndani ya bunge ili kujadiliwa. Tunataka kujua usalama wa pesa za nchi yetu mikononi mwa hao tuliowapa? au kujinyakulia uongozi wa taifa let
 
Fuatilia kwa makini but dont make it personal.

Utaachaje kuifanya kuwa personal wakati unaona kabisa watoto wako wanakosa elimu bora, afya ni mgogoro na makazi yako hayakufanyi utamani kurudi nyumbani kufurahi na familia. Nakwakuwa amani haipo nyumbani umeamua kuhamishia makazi kwenye Bar? Wakati huo huo jirani yako yy ni kiyoyozi kuanzia barabarani mpaka chumbani..no utra violet rays zina igusa ngozi yake, amani yao nyumbani ni tele tabasamu la mkewe/mumeo ni pana na watoto wao ni kama maua katika bustani yao pale nyumbani kwao kwa afya nzuri na ngozi nyororo walizonazo? Kama waweza kutoifanya personal basi Mbingu ni yako maana umefanikiwa kuenenda katika roho na si katika mwili huu wa damu na nyama, na hisia zako zimekufa kabisa pia akili yako hasa ile inayoongozwa na reflex system like kufunga jicho mtu anapokuwekea kidole ime expire!

Hili ni janga la kitaifa kwani almost everybody is becoming a hero anapofanikiwa kukwapua public funds. Let me console myself with these words...Lord our God Jehova is alive, is never weary nor slumber; hakuna udhalimu ulioshinda kwakuwakandamiza wanyonge unfortunately History never lies! In one of my old post niliutangazia ufisadi ukomo wake nikatabiri anguko lao...inaonekana somo hili ni juu ya kiwango cha uelewa wao....The new Tanzania's mother is in a labour ward groaning from the labour pain naomba Mungu niwe hai pale atakapo deliver na kutuletea a bouncing baby BOY!:smile-big:
 
HAPO KUNA MINJA,MBOYA UNATEGEMEA NINI?KWA NINI DEAL NYINGI ZA WIZI WA FEDHA MCHAGA HAKOSEKANI?nauliza wana JF au ndio maana nyerere aliapa wasipewe urais wa nchi?
 
HAPO KUNA MINJA,MBOYA UNATEGEMEA NINI?KWA NINI DEAL NYINGI ZA WIZI WA FEDHA MCHAGA HAKOSEKANI?nauliza wana JF au ndio maana nyerere aliapa wasipewe urais wa nchi?

EE Mwenye enzi Mungu, muumba mbigu na nchi na vyote vilivyomo wafumbue macho watanzania ili wafanye maamuzi magumu juu ya mstakabali wa nchi yao, kwani hawajui lolote. Tunaomba na Kushukuru, na wote tuseme Amen.
 


Guys, this might be something serious, similar to EPA, KWANI JUNE 27 MWAKA JUU ILIKUWA NI JUMAPILI!
 
CAG nenda kule haraka!
MAGEREZA KUNA MADUDU MENGI ZAIDI YA HAYO WANAYOSIKIA!! KAMA YAWEZEKANA AENDE MAGEREZA YA MIKOA YOTE AONE UTUMBO ULIOPO HUKO...KAMISHNA MKUU ANA MIRADI KILA MKOA, KILA MRADI ULIOPO KWENYE MKOA NAYE ANA SHARE YAKE
 
Lakini itakuwaje kuwa hii kashfa ni kashfa ya geresha kwani mambo yote tayari yana maelezo ya kutosha na kukubalika na haifiki mbali?
 
Yaani haya mambo ya TZ, kuna wakati huwa naona for the health of your heart inabidi kutoyafatilia kwa saana!

yaani mdau ur right yaani mm hapa nasoma hii habari huku nikiwak ktk ambulance naelekea hospitaliiii,yaani tz kila mtu anafikiria kula kabla mwingin hajala.....izo hela si bora wangezielekeza kwenye menu ya wafunga angalu wapate matunda na mboga mboga
 
unajua kila mmoja sasahivi anaona bora a-ccm (achukue chake mapema) maana wakubwa wanajichotea. tatizo jingine ni kwamba diola yetu haina nguvu, na wananchhi ndo kabisaaaaa wamechoka. maana nguvu ya wananchi ni muhimu kusukuma mambo yaende mbele ikiwa waliopewa dhambana hawawajibiki.
 
meaning walisainishiana sebuleni kwa mtu au bar.......
Kama walisainishana sebuleni nani kawaruhusu? Wanatembea na kitabu cha hundi kikiimbiwa au kikipotea???
Kweli ufisadi hauishi Tanzania
 
Hii ndio paradise ambayo chama kimeamua kuijenga, UFISADI.
 
mustakabali wa taifa hili wanaujua wenyewe mafisadi
sisi tupo tupo tu tunatoa macho na wameshika mpini sasa we unafikiri tutafanyaje hapo

Natamani sana kumiliki high range telescopic rifle!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…