mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Ndio maana tuna idara za "Customs", "health", "TFDA", "TBS", "UWT" na zinginezo, kuhakikisha hatuingiziwi vibovu.
Nakuuliza, vitunguu vibovu bandarini vina husiana nini na Igunga?
Author anajaribu kukumbusha tu serikari hivi sasa akili ipo Igunga. Karibu wakuu wa Idara zote macho na akili zao ziko Igunga na kuwaacha wachina na mafisadi uchwara waingize takataka.
Samahani dada yangu FF hivi UWT nao wana nafasi kwenye uingizaji vyakula? ahaaaa ni wanawake wake wa CCM, Igunga vipi UWT hawakwenda? au ndo walioachiwa majukumu ya Bandari?