wanaudhi sana mtu mzima kuwa kibaraka mpaka lini?kisa una kamrija kako ka ufisadi badala ya kuangalia manufaa ya wananchi wote kwa jumla!tungeletewa mbegu ya vitunguu saumu vyeupe vikubwa ili wakulima wapande wapate mazao hayo zaidi hapo ningeelewa
Soma vizuri post. Asiyejuwa maana haambiwi maana, msitake kutubabaisha kwa maneno. Hata Usalama wa Taifa ni UWT na huko pia kuna wanawake. Igunga UWT wamekwenda au umesahau mlivyomvua hijab mwana mama wa UWT?
Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.
Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.
Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?
Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?
Umeanza vizuri lakini mwishoni umeingiza upupu. Inaelekea hata habari yenyewe ni ya kutunga tu.
mwita 25 mambo vp wangu?
Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.
Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.
Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?
Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?
tatizo si kuagiza kutoka china.
Tatizo ni ubora wake!
...Haishangazi kuwa unashabikia Magamba. Aina yako ya fikra inareflect fikra ndani ya hicho chama, na haitushangazi kuwa tumeendelea kuwa masikini kiasi hiki.Mie nadhani wako ndio uliolala, Igunga kuna limwa nini inahusiana nini na vitunguu vya bandarini? halafu kuna kosa lipi kuagiza vitunguu saumu kutoka nje? mradi vitengo vya afya viruhusu, sioni uhusiano wa biashara na Igunga na Bandarini. Nadhani mpaka sasa utajuwa ni ubongo wa nani uliokufa. Nakupa pole sana.
Hakuna tatizo hapo, ziwe na ubora au zisiwe na ubora, hizo ni "opportunities" ambazo kila mfanya biashara wa vitunguu anatakiwa awekeze, mfanya biashara mahiri na makini huwekeza kwenye upenyo wa kuweza kumshinda mwenzake na akawa kidedea. Jee, Watanzania wangapi watatumia hiyo fursa? Nna kuhakikishia ni wachache sana, sababu ni kukosa elimu.
Mkuu nimeskia vile vitunguu saum vyeupe vikubwa havilimwi kikawaida. Vinazalishwa kiwandani kama yale makuku ya kisasa. Kama si magonjwa kutuletea wenzao nini sasa? Wanaotetea upupu huu sidhani kama vichwa vyao vi salama.
Nna uhakika hujawahi kufanya biashara wala huielewi biashara, kuagiza biashara za nje hakuuwi biashara ya ndani bali kunasaidia kuikuza. Amma kwa kuweza kuonesha ubora wa bidhaa zetu amma udhaifu wa bidhaa zetu na kuchukua njia mbadala wa amma kuboresha bidhaa zetu amma kuziuza kwa ubora wake unaostahiki, mashindano ya kibiashara ndio njia pekee ya kukuza biashara, uelewa, elimu, viwango na hata "presentation" ya bidhaa. Na ikiwa tutaendelea kuogopa kuleta bidhaa za nje basi tukubali na matokeo ya kuzifunga fikra zetu na ziendelee kuwa pevu kama tunavyofikiri. Au tukubali kuwa na fikra changa zenye uwezo wa kufikiri mapya kwa kujifunza mapya mengi kutoka kwa wenzetu waliokubali kuwa hakuna fikra pevu utakayoifundisha ikaelewa (try to teach an old dog new tricks). Kuwa na fikra pevu ni ufinyu wa kufikiri.
Leo kweli mtu haswa mwenye fikra za kimaendeleo anakwambia usiagize bidhaa za nje kwani zinauwa biashara yetu ya ndani? Inashangaza sana.
Halafu uhusishe mambo kibao na uagizaji wa vitunguu?
Hivi huwa unatafuta njia za kupakaza kila unapoweza au ndio upevu wa fikra zako umefikia ukomo wa kufikiri?
huyo mwenye hivyo vitunguuu swaumu inaonekana hajatoa rushwa.au ukute kuna mgongano wa kimasilahi na viongozi wa ccm.aongee nao vizuri na akitoa rushwa watamuruhusu auze mzigo tu.mia