Mahmoud Shariff Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 267
nahisi kama umedhibitiwa wewe na waliokaribu nawe. wengine wanaendelea kama kawa.Kwa kiasi kikubwa ufisadi umedhibitiwa awamu hii...kuliko awamu iliyopita acha mihemuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi kama umedhibitiwa wewe na waliokaribu nawe. wengine wanaendelea kama kawa.Kwa kiasi kikubwa ufisadi umedhibitiwa awamu hii...kuliko awamu iliyopita acha mihemuko
Unachipua sana, usiondoe neno sana linamaana sana.Inachipua awamu hii? Au umekosea kuandika?
Atakayetangaza njaa kukiona - Serikali .Huoni hata aibu kusema hivyo?trasnparency ipi unayoitaka wewe
hata kama hakuna njaa itangazwe tu?Atakayetangaza njaa kukiona - Serikali .
wanayamaliza kimyakimya( silently) kama jina lao.
Hao Silent Ocean Ltd ni kina nani?
YeahSilent ocean si lumumbas hao
Ova
Ni hao hao ma-CCM tu!
Hili litapita mana hili kampuni ni la aliyemtangulia
Si walisema DP wakipewa kodi hazikwepeki. Nini hii sasa kama sio tumepigwa tu. Hskuna cha uwekezaji hao waarabu wanakula tu uwekezaji wa umma wa watanzania.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza uchunguzi kubaini kashfa ya kontena tisa zenye namba za kulipia kodi TZDL 16-10-25830 zilizoingizwa nchini na Kampuni ya Silent Ocean Ltd ambazo zilinaswa na kitengo cha "Fast Team" cha TRA zikiwa na bidhaa mbalimbali za vipuri vya magari, viatu vya ngozi na nguo za kifahari...
Hivi bado watu wanaendelea na hii michezo?? Hawaoni juhudi za Rais wetu na namna alivyo serious na mapato hasa bandarini?
Ipo kila sababu ya kumuunga mkono Rais wetu katika kuyakabili mambo kama haya.. Waliohusika waadhibiwe tu..maana hakuna namna!
Issue ya 2017 kabla ya covid.Si walisema DP wakipewa kodi hazikwepeki. Nini hii sasa kama sio tumepigwa tu. Hskuna cha uwekezaji hao waarabu wanakula tu uwekezaji wa umma wa watanzania.
Tanzania inaweza kuendelea hata kama ikiongozwa na mbuzi mwenye akili kuliko hawa mafisi na mafisadi wasiojua hata kuiba bali kutumiwa kama nepii.Ni hao hao ma-CCM tu!
Umesoma hii habari ni ya lini?Si walisema DP wakipewa kodi hazikwepeki. Nini hii sasa kama sio tumepigwa tu. Hskuna cha uwekezaji hao waarabu wanakula tu uwekezaji wa umma wa watanzania.