Kashfa ya makontena TRA tena: Ni ya Silent Ocean

Si walisema DP wakipewa kodi hazikwepeki. Nini hii sasa kama sio tumepigwa tu. Hskuna cha uwekezaji hao waarabu wanakula tu uwekezaji wa umma wa watanzania.
 
Si walisema DP akishakuwa pale hamna tena haya mapicha picha??
 
Mwenye kampuni ni CCM na ndio hao wanaitwa "wadhamini" wa chama.
 
Si walisema DP wakipewa kodi hazikwepeki. Nini hii sasa kama sio tumepigwa tu. Hskuna cha uwekezaji hao waarabu wanakula tu uwekezaji wa umma wa watanzania.
Umesoma hii habari ni ya lini?
Umelewa ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…