gilaibomba
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 352
- 92
..ikulu wakanushe hili haraka, kama walivyokanusha habari ya mshahara wa raisi.
Lowassa: Nilipeleka documents kuwa kampuni ya Richmond haikuwa halali. Hizo documents nilizipeleka kwa mwanasheria mkuu Johnson Mwanyika. Lakini baada ya siku tano nilipoona mwanasheria mkuu hatekelezi niliamua kuitisha kikao kilichoongozwa na katibu mkuu kiongozi pamoja na makatibu wakuu wahusika akiwemo mwanasheria mkuu. Tuliongea mengi ila mwanasheria mkuu akaomba pumziko la masaa mawili. Alitoka nje kuongea na simu na aliporudi ndani akasema kuwa mamlaka ya juu imeagiza kuwa Richmond ni halali na kila kitu kiendelee kama ilivyokuwa. Mimi Lowassa ningeongea tena nini?
"Nilitaka kuvunja mkataba wa Richmond baada ya kugundua kuna mashaka ya Upatikanaji wake, Alie husika kuingia mkataba aliomba Lisaa limoja na alipo rudi alisema haya nimeambiwa na mamlaka ilio juu ya ofisi ya Waziri Mkuu nisivunje" .
"Mwenye ushahidi aende mahakamani kama huuna ushahidi plz shut up and keep quite.
#Edward Lowasa
#zuiaGoliLaMkono2015
Mkiendelea kuuliza tunamwaga ugali wote.
Duh!
haya maneno kayaongea leo??
Ni kweli tuna haki watanzania kulaumu alikuwa wapi kuyasema kama alikuwa akituhurumia watanzania lakini pia tunahaki ya kuhoji kwanini serikali haikuchua hatua ya kumshitaki alipotuhumiwa kama fisadi? Hapo pia akili ya kuambiwa changanya na zako.
Good question.
Angeteuliwa kuwa mgombea wa CCM angetoka na kusifia kila kitu.
Sijui humu ndani kuna mataahira wangapi., lakini siwezi kuwa mmoja wa machizi wanaoweza kuamini dhamira ya Lowassa ni njema, baada ya kukaa kimya kwa miaka 8 kuhusu kitu alichojua ni kosa,au kuhusu ushiriki wake.
lakin kwa kuwa shake before use wako wengi,kuna watu watakunywa hii kool aid bila hata ku-shake well before drinking.
Dr Slaa bado tuendelee kukuamini?
Ndio ujue uongo mwingine ni wakitoto kwan waziri mkuu na mwanasheria mkuu ni nan mwenye kuongea na mamlaka za juu zaid ya mwenzie ?asitufanye watoto wadogo na Kama angepitishwa angesema yote hayo, yeye aseme atatufanyia nn sio kujibu vitu kitoto namna lie alafu Watu mnachekelea
Nani anaweza kununua hii hekaya!Lowassa: Nilipeleka documents kuwa kampuni ya Richmond haikuwa halali. Hizo documents nilizipeleka kwa mwanasheria mkuu Johnson Mwanyika. Lakini baada ya siku tano nilipoona mwanasheria mkuu hatekelezi niliamua kuitisha kikao kilichoongozwa na katibu mkuu kiongozi pamoja na makatibu wakuu wahusika akiwemo mwanasheria mkuu. Tuliongea mengi ila mwanasheria mkuu akaomba pumziko la masaa mawili. Alitoka nje kuongea na simu na aliporudi ndani akasema kuwa mamlaka ya juu imeagiza kuwa Richmond ni halali na kila kitu kiendelee kama ilivyokuwa. Mimi Lowassa ningeongea tena nini?