Kashfa ya rushwa kwenye Bunge la Ulaya na marafiki wa CHADEMA

Kashfa ya rushwa kwenye Bunge la Ulaya na marafiki wa CHADEMA

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU.

1670835776421.png

Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
 
Bunge zima la Ulaya liliongwa na hao Qatar? Mbona unashindwa kutambua mantiki rahisi tu!!??
Sasa mkuu unakasirika nini? Mbona kosa alifanya Adam na Eva na wote tunakufa siku hizi na hatukuwepo?
 
Sasa mkuu unakasirika nini? Mbona kosa alifanya Adam na Eva na wote tunakufa siku hizi na hatukuwepo?
Bado unashindwa kujenga mantiki yako. Bunge lenyewe la ulaya limesema kuwa litashirikiana na wachunguzi wa Kashifa hiyo. Sisi hapa mpaka leo zile Trilioni 1.5 zilizopotea enzi za mwendazake mpaka leo bunge limeshindwa kuzifuatilia.
 
"Baadhi ya wabunge" wa bunge la Ulaya wamekamatwa...

Mpaka hapo unaonesha vile umeshindwa kuelewa jambo jepesi tu.

Naendelea; wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa...

Maana yake, mahakama ndio itakayoamua kama kweli wamekosea au hapana, mpaka sasa madai dhidi ya hao "baadhi ya wabunge" ni tuhuma tu.
 
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
Bora wao wanakamatana na kuchukuliwa hatua. Huku mmeletewa mabewa ya WWII 2.2b mnawapigia makofi?
 
Bado unashindwa kujenga mantiki yako. Bunge lenyewe la ulaya limesema kuwa litashirikiana na wachunguzi wa Kashifa hiyo. Sisi hapa mpaka leo zile Trilioni 1.5 zilizopotea enzi za mwendazake mpaka leo bunge limeshindwa kuzifuatilia.
Sielewi kwa nini huelewi- unamaanisha kusema hiyo kashfa ni ya uongo? Kuhusu suala la 1.5 hapa Tanzania, kwa taarifa bunge lilihoji na serikali ikatoa majibu-ama ulikubaliana na majibu ya serikali au hapana huo ni ujinga na uamuzi wako.
 
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
Yaani wewe unashangaa rushwa ya ulaya? unafikiri duniqni Kuna maraika?

Uzuri kwa wenzetu Wala Rushwa wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka, huku kwetu Wala rushwa, wapo Ikulu,wanateuliwa, na kuhamishwa vitengo tu,

Chadema imeenda kwa wanaofata sheria, haijalishi nafasi ya mtu, ukila Rushwa, Sheria inaruka na wewe!! huku kwetu, Mama mwizi, Wajomba wezi, wapwa ndio usiseme, vibaka waliokubuhuuu, hata wa kukamata hakuna, maana hata hao polisi ni majambazi yenye ruhusa ya kubeba siraha!!
 
Yaani wewe unashangaa rushwa ya ulaya?unafikiri duniqni Kuna maraika?
Uzuri kwa wenzetu Wala Rushwa wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka,huku kwetu Wala rushwa,wapo Ikulu,wanateuliwa,na kuhamishwa vitengo tu,
Chadema imeenda kwa wanaofata sheria,haijalishi nafasi ya mtu,ukila Rushwa,Sheria inaruka na wewe!!huku kwetu,Mama mwizi,Wajomba wezi,wapwa ndio usiseme,vibaka waliokubuhuuu,hata wa kukamata hakuna,maana hata hao polisi ni majambazi yenye ruhusa ya kubeba siraha!!
Mimi mtu akituhumiwa tu- sikai nae. Kwa CHADEM,A wanavyojitanabaisha kuwa wasafi hii kashfa haiwaaich salama na wao ni yaleyale
 
Bora wao wanakamatana na kuchukuliwa hatua. Huku mmeletewa mabewa ya WWII 2.2b mnawapigia makofi?
Huwa sielewi ni kwa nini CCM hawaoni utofauti wetu na hao jamaa wa ulaya. Eva kaili ni miongoni mwa Makamu wa Rais 16 wa Bunge la Ulaya lakini amekamatwa. Leo hapa kwetu kuna mamlaka ama mtu mwenye ubavu wa kumkamata Spika au Naibu spika wa Bunge!??
 
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
Sasa ao sio watuhumiwa ao ni washukiwa mkuu rekebisha post yako.

maana kama sababu ya kupewa rushwa haijulikani basi ao ni washukiwa tu
 
Sasa ao sio watuhumiwa ao ni washukiwa mkuu rekebisha post yako.

maana kama sababu ya kupewa rushwa haijulikani basi ao ni washukiwa tu
Bunge lenye wabunge 705 anakamatwa mbunge mmoja "akishukiwa" au "kutuhumiwa" kwa rushwa mtu anaanzisha mada ili mradi aitaje CHADEMA.

Huu ni umakamba wa hali ya juu sana toka chama cha mambuzi!!
 
Huwa sielewi ni kwa nini CCM hawaoni utofauti wetu na hao jamaa wa ulaya. Eva kaili ni miongoni mwa Makamu wa Rais 16 wa Bunge la Ulaya lakini amekamatwa. Leo hapa kwetu kuna mamlaka ama mtu mwenye ubavu wa kumkamata Spika au Naibu spika wa Bunge!??
Umesahau Mramba, Yona, na Mbowe walifungwa halafu unasema hapa hatua hazichukuliwi- Utakuwa ulikuwa mwezini
 
Wewe jamaa unatoa mfano ya kulipiziana visasi. Sisi tunataka kuwe na mfumo unaofanya kazi bila ya kusubiri maelekezo toka kwa wanasiasa wanaotumia mifumo ya nchi yetu kulipizana visasi.
Wewe acha ukabila- kwa hiyo kesi ya Sabaya nayo ni kisasi?
 
Mimi mtu akituhumiwa tu- sikai nae. Kwa CHADEM,A wanavyojitanabaisha kuwa wasafi hii kashfa haiwaaich salama na wao ni yaleyale
EU ni miongoni kwa waliotukopesha millions of USD,tukatae hela zao sababu ya watubumiwa wachache?

Bora panya wa SUA wanaotegua mabomu wana akili na faida kuliko chawa wa ccm,headless chickens
 
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU.
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
CCM imewahi kukamata wabunge na mawaziri wangapi wala rushwa?

Najua haijawahi na haitawahi. Maana wakisema wakamate mawaziri wala rushwa, hatutakuwa na Waziri mkuu wala waziri yeyote.

Wakisema wakamate wabunge wala rushwa na watoa rushwa, hatutakuwa na mbunge hata mmoja wa CCM.

Wakisema wakamate maDC na maRC, na makamanda wa Polisi wala rushwa, nchi haitakuwa na DC, RC wala kamanda wa polisi.

Hongera sana wazungu, kwa kiwango kikubwa cha maendeleo , ustaarabu na utawala bora mlioufikia. Maana mhalifu anakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya kikatiba.

Huku kwetu, wala rushwa wanashangiliwa na kupambwa na sifa za kila aina. Imelaaniwa nchi yangu maana anayetakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na maovu, mara nyingi yeye mwenyewe huwa ndiye mwovu mkubwa.
 
CCM imewahi kukamata wabunge na mawaziri wangapi wala rushwa?

Najua haijawahi na haitawahi. Maana wakisema wakamate mawaziri wala rushwa, hatutakuwa na Waziri mkuu wala waziri yeyote.

Wakisema wakamate wabunge wala rushwa na watoa rushwa, hatutakuwa na mbunge hata mmoja wa CCM.

Wakisema wakamate maDC na maRC, na makamanda wa Polisi wala rushwa, nchi haitakuwa na DC, RC wala kamanda wa polisi.

Hongera sana wazungu, kwa kiwango kikubwa cha maendeleo , ustaarabu na utawala bora mlioufikia. Maana mhalifu anakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya kikatiba.

Huku kwetu, wala rushwa wanashangiliwa na kupambwa na sifa za kila aina. Imelaaniwa nchi yangu maana anayetakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na maovu, mara nyingi yeye mwenyewe huwa ndiye mwovu mkubwa.
utakuwa na upungufu wa kumbukumbu
1. Kange Lugora aliwahi kukamatwa kwa tuhuma za rushwa kwa kukumpa
2. WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, wametiwa mbaroni na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa katika uchaguzi wa chama hicho. Taarifa ya Takukuru, iliwataja wabunge hao kuwa ni Elisa Mollel (Arumeru Magharibi) na Michael Lekule Laizer (Longido), na kwamba wanaendelea kuhojiwa, ili ikithibitika kuwa wanahusika na tuhuma hizo, hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao. mmoja
 
Back
Top Bottom