utakuwa na upungufu wa kumbukumbu
1. Kange Lugora aliwahi kukamatwa kwa tuhuma za rushwa kwa kukumpa
2. WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, wametiwa mbaroni na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa katika uchaguzi wa chama hicho. Taarifa ya Takukuru, iliwataja wabunge hao kuwa ni Elisa Mollel (Arumeru Magharibi) na Michael Lekule Laizer (Longido), na kwamba wanaendelea kuhojiwa, ili ikithibitika kuwa wanahusika na tuhuma hizo, hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao. mmoja