Kashfa ya rushwa kwenye Bunge la Ulaya na marafiki wa CHADEMA

Maaafii 😂😂, hakuna kitu mzee wala hutosikia tena hayo madai na wahusika utawaona mtaani wanaendelea kula inji hii!! Ishu ya lugola achana nayo kbs itakutia ujinga zaid mzee, iliishia cku ileile na yupo anapeta kama kawaida!! Bora unge realize tu kwamba nchi yetu na utawala wake hauna nia ya kuwashughulikia mafisadi!!
 
Chama cha mambuzi haha mnahabgaika sana na chadema
 
Kukuuliza iliishia wapi ni swali la kijinga?. Wewe sio mzima. Yani mtuhimiwa wa rushwa kangi lugola kawa waziri.
Ni la kijinga kwa sababu ilipelekwa mahakami kwenye duo process ikaisha ilivyoisha kwa mjibu wa sheria ndani ya utawala washeria. Sasa wewe unauliza swali la kijinga kana kwanza unawaza tu bila kufikiri.
 
Sielewi kwa nini huelewi- unamaanisha kusema hiyo kashfa ni ya uongo? Kuhusu suala la 1.5 hapa Tanzania, kwa taarifa bunge lilihoji na serikali ikatoa majibu-ama ulikubaliana na majibu ya serikali au hapana huo ni ujinga na uamuzi wako.
Kuhusu mabehewa chakavu kwa Bei ya kuruka bunge limefanya nini?
 
Kuanzia tupate uhuru mpaka leo ni miaka 61 bado tunashindwa kujenga vyoo, kupata huduma bora za afya huku ufisadi ukiwa umejaa tele. Sababu kubwa ya haya yote ni jamii kuwa na wajinga wakubwa kama wewe.
 
Hivi vijana wa Lumumba hua mnatolewa akili ndo mnaajiriwa. Hivi unajua kua zaidi ya 30% ya bajeti yetu hela inatoka huko. Maccm mmeshindwa kusimamia nchi unakuja na kioja kama hiki. Hivi unajua kua Majizi yote ya ccm yanaficha hela ulaya?

Halàfu unakuja kuongea utumbo wako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…