Kashfa ya Ufisadi wa kutisha kupitia sukari ulioibuliwa na Mpina litamuangusha ubunge Spika

Kashfa ya Ufisadi wa kutisha kupitia sukari ulioibuliwa na Mpina litamuangusha ubunge Spika

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Ukweli ni kuwa ndg Tulia hajawahi kuwa kipenzi cha wana mbeya kwa kiwango kikubwa

2020 alishinda ubunge kwa heshima ya magufuli, magufuli alikubalika sana mbeya upepo ukawa upande wa Tulia

Sina shaka na kichwa cha tulia akson ni very bright ila ni km yupo dilemma hajui aongozaje bunge

Sakata la Ufisadi wa mabilioni ya pesa kupitia sukari ilibidi spika achague kutetea Ufisadi ili kulinda kiti chake

Hapa ndio amejimaliza kisiasa

Kabla ya sakata la Dp world na Ufisadi wa sukari alishafanikiwa ku outshine wapinzani wake ila hili la sukari litamuondoa

Spika amechafua sana hadhi ya bunge kusimama upande wa mafisadi na kumwinea mbunge mpina aliyeweka uharibifu hadharani
 
Ukweli ni kuwa ndg Tulia hajawahi kuwa kipenzi cha wana mbeya kwa kiwango kikubwa

2020 alishinda ubunge kwa heshima ya magufuli, magufuli alikubalika sana mbeya upepo ukawa upande wa Tulia

Sina shaka na kichwa cha tulia akson ni very bright ila ni km yupo dilemma hajui aongozaje bunge

Sakata la Ufisadi wa mabilioni ya pesa kupitia sukari ilibidi spika achague kutetea Ufisadi ili kulinda kiti chake

Hapa ndio amejimaliza kisiasa

Kabla ya sakata la Dp world na Ufisadi wa sukari alishafanikiwa ku outshine wapinzani wake ila hili la sukari litamuondoa

Spika amechafua sana hadhi ya bunge kusimama upande wa mafisadi na kumwinea mbunge mpina aliyeweka uharibifu hadharani
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
 
Ukweli ni kuwa ndg Tulia hajawahi kuwa kipenzi cha wana mbeya kwa kiwango kikubwa

2020 alishinda ubunge kwa heshima ya magufuli, magufuli alikubalika sana mbeya upepo ukawa upande wa Tulia

Sina shaka na kichwa cha tulia akson ni very bright ila ni km yupo dilemma hajui aongozaje bunge

Sakata la Ufisadi wa mabilioni ya pesa kupitia sukari ilibidi spika achague kutetea Ufisadi ili kulinda kiti chake

Hapa ndio amejimaliza kisiasa

Kabla ya sakata la Dp world na Ufisadi wa sukari alishafanikiwa ku outshine wapinzani wake ila hili la sukari litamuondoa

Spika amechafua sana hadhi ya bunge kusimama upande wa mafisadi na kumwinea mbunge mpina aliyeweka uharibifu hadharani
Soma kuhusu ostracism
 
Ukweli ni kuwa ndg Tulia hajawahi kuwa kipenzi cha wana mbeya kwa kiwango kikubwa

2020 alishinda ubunge kwa heshima ya magufuli, magufuli alikubalika sana mbeya upepo ukawa upande wa Tulia

Sina shaka na kichwa cha tulia akson ni very bright ila ni km yupo dilemma hajui aongozaje bunge

Sakata la Ufisadi wa mabilioni ya pesa kupitia sukari ilibidi spika achague kutetea Ufisadi ili kulinda kiti chake

Hapa ndio amejimaliza kisiasa

Kabla ya sakata la Dp world na Ufisadi wa sukari alishafanikiwa ku outshine wapinzani wake ila hili la sukari litamuondoa

Spika amechafua sana hadhi ya bunge kusimama upande wa mafisadi na kumwinea mbunge mpina aliyeweka uharibifu hadharani
Nikukosoe kidogo
Magufuli hakuwahi pendwa na watz wengi kama unavudai

Kama alipendwa matokea ya kura ya ngewekwa wazi na NEC

Tulia alipitishwa kibabe kama magufuli alivyoshinda kibabe

Tulia kurudi au kutorudi bungeni 2025 itatemea na tume kufanya uchaguzi kwa uhuru na haki
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?

Usipumbazwe akili na kauli za mafisadi yaliyomo ndani ta Serikali.

Mapato haramu ya bilioni 36 ndiyo yaliyowasukuma hawa mafisadi kukiuka taratibu zote za uagizaji sukari nje ya nchi, na wala siyo huruma kwa wananchi.
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
Waziri wa kilimo ndiye alitengeneza scarcity ya sukari

Ili kufanikisha Ufisadi walioupanga

Gape sugar Tanzania ilishabaki 6%tu wakati wa magufuli

Ila alivyoingia bashe akatengeneza gape sugar ya 200% ili wafisadi kiurahisi
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
Bashe na wapambe wake mnatapatapa
Ndo umetetea Nini upuuzi
Miaka yote mbona hao wenye viwanda wanaagiza sukari

Kasome ushahidi wa mpina alafu uje hapa
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
Una D mbili alafu unachangia mada hii inayohusu sakata la sukari kazi hipo na shule zetu za kata hizi.
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
Hapa ndipo waTz tunagawika sasa.

Wewe unamlaumu mleta mada na unamuunga mkono Bashe kwa kuingilia bila kufuata sheria za nchi kuruhusu wafanya biashara, wengine hai na wengine ni hewa kuagizia sukari ili kuokoa raia na mfumko wa bei.

Ipo ivii?

Sisi raia hatumpendi Waziri ama kiongozi yeyote kwa ajili ya uzuri wa sura yake hapana.

Tunamchukia mtu kutokana na maelezo yenye kuthibitisha vitendo vyake viovu.

Mpina katoa vielele vyenye kujitosheleza juu ya madhambi ya kisheria aliyofanya Waziri wa kilimo.

Ni wazi kuwa, utovu wa nidhamu aliobebeshwa mpina ni hila za kufunika kombe, aidha Spiki kwa kujua ama kwa kutokujua.

Mpaka anafukuzwa Bungeni, hakuna maelezo yaliyojitosheleza juu ya utovu wake wa nidhamu.

Raia tumebakia na dilema, kwamba kuongea na vyombo vya habari ndiyo utovu wa nidhamu wenyewe huo kwa Spika, mbona katika maelezo yake kwa wanahabari, hakumtaja Spika?

Raia tumebakia na maswali mengi sana yasiyo na majibu.

Sisi raia tusiyumbishwe na kuvurugwa na hawa mibaka uchumi.

Chukua clips za maelezo ya Bashe linganisha na maelezo ya Mpina ndiyo utaona kulivyo na hila za wazi na upigaji mkubwa nyuma ya sakata hili.
 
Hii Nchi Kuna mambo yanatia hasira, yaani kweli muda mchache ulopita wananchi walikua wanahangaika na upatikanaji wa Sukari Kuna baadhi ya maeneo kilo ilifikia 10,000/=

Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Bado Kuna mtu (Mbunge) analalamika na kukusudia kwenda mahakamani kwakua utaratibu wa uagizaji haukufuatwa ivi inaingia akilini kweli!
Ayo yote Mbunge anayafanya kwa manufaa ya nani.

Yaani ameshasahau wakati akiwa waziri alikua akipima samaki wa ziwa Victoria kwa rula na kuchomea watu Nyavu, Mbona tuna sahau haraka?
Wenye viwanda wakapewa ruhusa ya kuingiza Sukari wakagoma, Serikali (waziri)ikapambana kwakutumia wafanya biashara mpaka Sasa Kuna unafuu kiasi.

Oneni hili litanzania .... Kwahiyo walipewa Vibali ,wakagoma ??.

Mamaee !!.

Unajua wenye Viwanda wandani waliomba Vibali lini??.

Vibali vikaja kutolewa lini??.

Na wakaleta kiasi gan??.




Mtu mjinga asiyena taarifa, akisoma ulichoandika, anakuamin.


Jipe Maarifa kabla ya kuongea uozo.
 
1000123787.jpg
 
Back
Top Bottom