Kashfa ya Ufisadi wa kutisha kupitia sukari ulioibuliwa na Mpina litamuangusha ubunge Spika

Hiyo ni maiti inatembea imeoza bado kunuka tu Maza fanta zake.
 
REDIO MBAO
 
Is not over.....
 
Ndoto hizo.

Tulia kamfunika sugu mpaka haonekani hasikiki.
 
 
Mwaka Jana TSPA (Tanzania Sugar producer Association)walipewa vibali vya kuingiza Sukari kwakua hawkuweza kuzalisha Sukari ya kutosha.
Awa ndugu katika tan 60,000 zilizo hitajika wakaingiza Tan 250 na wakijua Taifa halina Sukari.

Sukari waliyo ingiza ilikua na VAT exemption wakatakiwa waiuze kwa bei elekezi ya kuuza 2300- 2500 kwa kilo, wao wakauza kwa Mawakala kwa 2800- 3000 kwa kilo na mfuko wa kilo 50 waliuza kwa 150,000- 160,000 Sasa uko mikoa ya pembezoni kwanini isifike 10,000 kwa kilo wakati Serikali ikisha waondolea VAT.

Mwaka huu kuanzia JAN - FEB kulikua na Sugar Gape la Tan 60,000 Tanzania Sugar Producer Association ( TSPA) wakapewa vibali vya kuagiza sukari lakini hawakuagiza ata kilo mmoja na wanajua mwezi MARCH - MAY ni kawaida ya wao viwanda kutozalisha Sukari kutokana na mvua za Elnino na miwa kukosa ubora n.k

Baada ya Serikali kuona Tatizo linakuja kujirudia haraka ikabidili kanuni ili NRFA (National food Reserve Agency ) kuwa na Nguvu ya kuingiza Sukari.
NRFA wakaingiza Sukari na Wananchi kupatia unafuu katika madhira ayo ya upungufu wa Sukari.
Awa TSPA baada ya kelele nyingi walipo kuja na Sukari Yao ambayo haizidi tan 1000 hailipiwi VAT wakaipakua bandarini na kuifungia kwenye Maghala Yao.
Serikali ilibidi iingilie kati kwa kutumia jeshi la polisi kufungua Maghala hayo.

Maoni yangu, awajamaa TSPA wanafurahia Sukari inapo adimika kwakua watapewa vibali vya kuagiza nje na hawatalipia VAT na wao wata control soko uku waki ingiza faida kubwa.
Kitendo Cha Waziri Bashe kuja na mpango wa kubadili kanuni ili NRFA wawe na man date ya kuagiza sukari pindi kukiwa na dalili za kuadimika kume wavuruga kwelikweli.
Maanayake ili Tatizo lingeendelea kukua, kwakua TSPA kipaumbele Chao kwa Sasa si kuzalisha Tena wao wanafurahia Sugar Gape ili wapewe vibali vya kuagiza sukari na kupata msamaha wa VAT na kuiuza kwa bei wanayotaka wao uku wakijipatia faida maradufu kutoka kwa wanyonge wa Nchi hii.
Namshauri Waziri Bashe ajipange awa jamaa amegusa maslahi Yao na ni watu wenye Nguvu kubwa za kiuchumi, awe karibu na Mungu wake maana wako tayari kutumia silaha yoyote kumletea madhara, kuanzia mitandaoni mpaka katika maisha yake ya Kila siku awe makini Sana.
 
Bashe Out kama Idd Simba alivyojihudhuru mwaka 2000. aliyoyafanya Bashe ndio aliyoyafanya Idd Simba. Ila sasa hivi kwa sababu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. No problem.
 
Kuna mtu aliandika "uchawi utatukomboa" niliandika maoni ila hayakwenda. Nilisema suluhisho sio kuwauwa mafisadi wote kwa uchawi ila wajiuwe wenyewe. Omba upewe idhini ya uongozi ila upikwe kisawasawa. Yeyote atakaekufanyia ubaya urudi kwake mara mbili. Hapo utanyoosha nchi bila woga, hakuna atakaekurushia bomu lolote. Kupikwa sio kwa kutumia hizi dini za kigeni ila jadi yako ya kiafrika ila uwe na imani katika mizimu yako ya asili.
 
Chukua clips za maelezo ya Bashe linganisha na maelezo ya Mpina ndiyo utaona kulivyo na hila za wazi na upigaji mkubwa nyuma ya sakata hili.
"MAITI" atawezaje kufanya hiyo kazi uliyo mhimiza aifanye?.
Ni binaadam mwenye uhai, akiwa na akili timamu pekee ndiye anayeweza kutafuta ushahidi wa kujiridhisha nao kama ulivyo shauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…