Kashfa ya vifaranga kufia Airport hadi sasa hakuna wa kuwajibika?

Kashfa ya vifaranga kufia Airport hadi sasa hakuna wa kuwajibika?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
KASHFA kubwa iliyotokea ya Vifaranga zaidi ya 60,000 kufia Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam vikitokea Ubelgiji hivi ni kweli hadi sasa hakuna wa kuwajibika kutokana na kashfa hii.

Au ndio ule usemi na hili nalo litapita?
 
KASHFA kubwa iliyotokea ya Vifaranga zaidi ya 60,000 kufia Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam vikitokea Ubelgiji hivi ni kweli hadi sasa hakuna wa kuwajibika kutokana na kashfa hii.

Au ndio ule usemi na hili nalo litapita?
Wanatafuta mbinu za kumdanganya Rais wetu
 
Wa kuwajibika ni aliyeviingiza kinyume cha sheria na utaratibu...

Ni kama kujenga ktk hifadhi ya barabara...

 
KASHFA kubwa iliyotokea ya Vifaranga zaidi ya 60,000 kufia Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam vikitokea Ubelgiji hivi ni kweli hadi sasa hakuna wa kuwajibika kutokana na kashfa hii.

Au ndio ule usemi na hili nalo litapita?
Kampuni iliyoleta vifaranga itafikishwa mahakamani kwa kuleta vifaranga bila kufuata utaratibu na italipia gharama zote za kuteketeza vifaranga hivyo
 
Kampuni iliyoleta vifaranga itafikishwa mahakamani kwa kuleta vifaranga bila kufuata utaratibu na italipia gharama zote za kuteketeza vifaranga hivyo
Mbona Serikali haijasema chochote kuhusu hicho unachosema wewe
 
KASHFA kubwa iliyotokea ya Vifaranga zaidi ya 60,000 kufia Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam vikitokea Ubelgiji hivi ni kweli hadi sasa hakuna wa kuwajibika kutokana na kashfa hii.

Au ndio ule usemi na hili nalo litapita?
Nchi ina mambo sana Mungu tusaidie
 
Wale wa Arusha Magufuli was heartless utafikiri yeye ndio aliwasha kiberiti kuwachoma. Sahizi bibi Tozo yeye kawaacha wajifie na hamna kitu mnasema. Tena hawa wa sasa ni 6 times wale wa Arusha
 
Wale wa Arusha Magufuli was heartless utafikiri yeye ndio aliwasha kiberiti kuwachoma. Sahizi bibi Tozo yeye kawaacha wajifie na hamna kitu mnasema. Tena hawa wa sasa ni 6 times wale wa Arusha
Kumbuka kuna vifaranga wengine 50,000 wiki chache zimepita nao wamechomwa moto Moshi na mwekezaji kwa kukosa soko, wao wanauza 1,800 wale wa ubelgiji wanauza sh 700 kwa sababu hawalipii ushuru wowote, kodi wala kibali chochote haya hayasemwi
 
Kumbuka kuna vifaranga wengine 50,000 wiki chache zimepita nao wamechomwa moto Moshi na mwekezaji kwa kukosa soko, wao wanauza 1,800 wale wa ubelgiji wanauza sh 700 kwa sababu hawalipii ushuru wowote, kodi wala kibali chochote haya hayasemwi
Wamejikausha kabisa yani, hii nchi ukiwa Raisi ni kuitwanga Nuclear tu kisha unaleta diaspora waje kuanzisha maisha upya.
 
Wa kuwajibika ni aliyeviingiza kinyume cha sheria na utaratibu...

Ni kama kujenga ktk hifadhi ya barabara...

Hivi kuna ndege ya kimataifa itapakia mzigo usio na kibali?
Tumieni hata makalio kufikiri kidogo.
Wazungu wako makini sana hawawezi kubeba mzigo wenye mashaka ya wazi
 
Umeshindwa kupata majibu hapo juu? Umekaa kubishana! Kichwa hakitaki kuelewa kufunguka, ondoa upofu kichwani
Elezea ulichoelewa na siyo kubananga kama kuku asiye na kuchwa
 
Hivi kuna ndege ya kimataifa itapakia mzigo usio na kibali?
Tumieni hata makalio kufikiri kidogo.
Wazungu wako makini sana hawawezi kubeba mzigo wenye mashaka ya wazi
Vibali wanavyo vya Mamlaka za Ubelgiji kuwaruhusu kusafirisha vifaranga kutoka kuja Tanzania. Hawana vibali vya Serikali ya Tanzania kuingiza vifaranga nchini Tanzania acha ujinga wa kufikiri kutumia makalio
 
Hivi kuna ndege ya kimataifa itapakia mzigo usio na kibali?
Tumieni hata makalio kufikiri kidogo.
Wazungu wako makini sana hawawezi kubeba mzigo wenye mashaka ya wazi
Maswali ya kijinga kabisa mara ngapi madawa ya kulevya yanakamatwa Airpot yalipandaje Ndege?
 
Vibali wanavyo vya Mamlaka za Ubelgiji kuwaruhusu kusafirisha vifaranga kutoka kuja Tanzania. Hawana vibali vya Serikali ya Tanzania kuingiza vifaranga nchini Tanzania acha ujinga wa kufikiri kutumia makalio
Mtu anayefanya kazi za usafirishaji na sio mara ya kwanza lazima anajua utaratibu.
Fikiri nje ya box wewe tumbili mwenzangu.
Hapa rushwa ilitakiwa tu
 
Back
Top Bottom