Kashikashi,vihoja,vituko na mizengwe ya kwenye dalaldala

Kuna kitu hamjakijua kuhusu muziki wa Injili kwenye gari. Wimbo wowote unaomtaja Yesu unamhusu kila mmoja. Yesu ni zaidi ya dini. Yesu ni wa wote, kwa nini mnataka kujitenga naye? Lazima muelewe hili, vinginevyo ni hasara ya milele.

Yesu anasema: "Mimi ndiye njia, na kweli na uzima; Mtu haji kwa Baba (Mungu) ila kwa njia ya Mimi" YOHANA 14:6



JESUS IS LORD!
 
Huyo lzm alikojoa [emoji23]
 
Kila mtu aamini kimpango wake mkuu
 
Sawa kabisa. Ukitaka kujua raha ya Daladala zetu, nenda Ulaya ambako kila mtu yupo kimya ndani ya basi, anasoma gazeti, kitabu na kwa sasa wako too busy mitandaoni. Safari utaiona ndefu kweli kweli. Kwa mara ya kwanza utajisikia mpweke sana, lakini kadri siku zinavyosonga mbele utazoea na kuwa mmoja wa hao mazombie.
 
Umewahi kupanda kwenye gari ukakuta mawaidha yamefunguliwa kwenye redio?
 
Umewahi kupanda kwenye gari ukakuta mawaidha yamefunguliwa kwenye redio?
Waislamu wanamhitaji Yesu na hata naye Yesu anawahitaji waislamu awaokoe. Karibuni kwa Bwana wa mabwana.


YESU NI MWOKOZI
 
Umenunua bodaboda au bajaji ?
Bodaboda ndugu.
Nakuuliza kwa sauti ya chini lkn..... mbona hujaweka gari kwenye hiyo list yako?!!! Maana nilitaka nseme gari sema watu wataona huyu nshomile vepee.
Pia vile vile mtu akisema kamiss daladala ujue tu anausafiri mwingine private.
 
Utadhani kaweka jiko la mkaa Kati Kati ya mapaja anaota moto
Mie leo hii hii nimepanda nikakaa siti ya wawili na li baba limoja sijui la wapi lile yani limetanua mamiguu yake mpaka kero
 
Umewahi kupanda daladala yenye redio iliyofunguliwa mawaidha ya dini nyingine au dhehebu tofauti na lako?
 
Nilijua kama una gari nshomile huwezi kuacha kututaarifu.
Bodaboda ndugu.
Nakuuliza kwa sauti ya chini lkn..... mbona hujaweka gari kwenye hiyo list yako?!!! Maana nilitaka nseme gari sema watu wataona huyu nshomile vepee.
Pia vile vile mtu akisema kamiss daladala ujue tu anausafiri mwingine private.
 
Hata mashekh pia wanaamin kama unavyoamini ww kua upo njia sahihi
Hivyo baki na imani yako mkuu usiwe chanzo cha kuwakera wenzako kisa imani yako
 
Umewahi kupanda daladala yenye redio iliyofunguliwa mawaidha ya dini nyingine au dhehebu tofauti na lako?
Huwa sijali khs dini ama dhehebu; ilimaradi tu nyimbo hizo zimataje Yesu kwa usahihi wake. Katika kicho!
 
Makonda muache tabia ya kumuangalia vibaya mtu akitoa elfu kumi na msiwe mnauliza watu wangapi mkipewa pesa kubwa.
 
Wengi wetu sikuizi stamina za miguu hakuna mtu anasimama pembezoni mwa siti uliyokalia kwakukulalia kabisa unajaribu kumsukuma kwa bega ila wapi mtu hasogei [emoji34][emoji34] mpk unamuuliza mkuu nikupakate au


Kingsmann
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…