Wewe zi Zuzu kabisa sasa walioingia Saudi Embassy walikuwa na nguo za Jeshi kama hufuatilii habari za kimataifa kaa kimya tu siyo kulisha watu matango poriVideo niyeye labda uliyoiona wewe sio ukiona jamaa wamevaa makirikiri kama ya jwtz ndio yenyewe
Watu hawajiongezi wanakurupuka ..Hakuna video kilichokuwepo ni sauti tu na hata hiyo sauti iliyorekodiwa ni watu wachache sana waliyoisikiaJaman tuwe tunajiongea kidogo inapotokea inshu kama hii.hapo mnaona kabisa kuna jamaa pembeni kashika video camera yeye ndo ana record tukio zima,wakati inshu ya kashogi ni saa yake ndo ime record sauti na wala sio video.iyo video mnayo nyinyi tu huku africa hata ikulu ya marekani na turkey hawana iyo video
Duh. AyseeeSAA yake ilirekodi kila tukio huku ikituma kwenye laptop yake
niliiona hiyo video nikaifuta haraka saana maana si kwa ukatili huoUkiangalia video ya kashogi wakati anachinjwa shingo na shoka alikuwa hatikisiki wala kuonyesha anapata maumivu makali (agony) pale walishamuua tayari sasa sijui walimuua kwa staili gani kwanza kabla ya kumchinja pole sana kashogi
Hatujui Ben yalimfika yapi kwenye mikono ya watekaji wake
Mmmh, mwili umenisisimka baada yakusoma hii comment yakoTukio la kinyama walilomfanyia Alphonse Mawazo lilikuwa la kutisha zaidi ya hili la kashogi. Mawazo hawakumchoma sindano yoyote
Macho yake yalishuhudia panga na shoka vikitua mwilini mwake na kumalizikia kichwani mwake na kutupwa barabarani huku wananchi wakiendelea na shughuli za upigaji picha hata kabla hajakata roho.
Haya yote kashogi hakuyapitia. Mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Mpendwa wetu Mawazo aliyeuliwa kinyama bila ya hatia. May his blood curse CCM and all of it's members
Huo ndio ulikuwa mwanzo wangu wa kuwachukia wasukuma. Waarabu wana nafuu maana wao wameathiriwa na imani potofu za kidini. Lakini ndugu zetu Hawa ni njaa tu ya madaraka mpaka kufanya unyama ule.
Eeh mola kwa bahati mbaya nimekumbuka tukio la kukatwa shingo na chainsaw mwenyekiti wa cdm kwenye uchaguzi Mdogo. Ccm!!
Wanajipa moyo coz bado wanapumua!Funny thing hao wauaji na wenyewe watakuja kufa..... Sijui kwanini watu hudhani kifo ndio adhabu pekee na kama ni adhabu basi na wao wataipata, hapo ndio ninaposhangaa.
Matukio kama ya Mawazo usukumani yanafanyika Sana na nimeyashuhudia na hayana uhusiano na siasa.Tukio la kinyama walilomfanyia Alphonse Mawazo lilikuwa la kutisha zaidi ya hili la kashogi. Mawazo hawakumchoma sindano yoyote
Macho yake yalishuhudia panga na shoka vikitua mwilini mwake na kumalizikia kichwani mwake na kutupwa barabarani huku wananchi wakiendelea na shughuli za upigaji picha hata kabla hajakata roho.
Haya yote kashogi hakuyapitia. Mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Mpendwa wetu Mawazo aliyeuliwa kinyama bila ya hatia. May his blood curse CCM and all of it's members
Huo ndio ulikuwa mwanzo wangu wa kuwachukia wasukuma. Waarabu wana nafuu maana wao wameathiriwa na imani potofu za kidini. Lakini ndugu zetu Hawa ni njaa tu ya madaraka mpaka kufanya unyama ule.
Eeh mola kwa bahati mbaya nimekumbuka tukio la kukatwa shingo na chainsaw mwenyekiti wa cdm kwenye uchaguzi Mdogo. Ccm!!
Kifo sio adhabu...ila adhabu inaweza kuwa KIFOFunny thing hao wauaji na wenyewe watakuja kufa..... Sijui kwanini watu hudhani kifo ndio adhabu pekee na kama ni adhabu basi na wao wataipata, hapo ndio ninaposhangaa.
Kweli kabisa Broh, unajua Kuna kale ka chuki wanasema cha "unini" sijui...? ila ukatili hatuzaliwi nao, mara ya kwanza kuona mtu aliechinjwa ni hapa hapa TZ,mara ya kwanza kuona mtu kachomwa moto yu hai ni hapa hapa TZ, mara ya kwanza kuona mtu kachunwa ngozi ni hapa hapa TZ,mara ya kwanza kuona mtu kagawanyishwa viungo vya mwili ni hapa hapa TZ..mara ya kwanza kuona mtu kazaa mtoto kenda mtupa chooni ni hapa hapa TZ...mara ya kwanza kuona mtu kanyofolewa macho usoni ni hapa hapa TZ,mara ya kwanza naona mtu kapigwa mkuki wa koo ukatokea upande wa pili ilikuwa kwenye muvi ila mara ya pili ni hapa hapa TZ...niendelee? Au mi sielewi maana sahihi ya UKATILI? Wakati makatili "waarabu" wanauana vibaya kwa propaganda tu za kutishiana "serikali na vikundi fulani fulani" sisi "wapole" TZ ni kwa tamaa wivu na uchawi tu[emoji848] huko afrika ya magharibi na ya kati uchafu unaofanyika halafu jitu linasimama kusema eti "weupe" sijui "waarabu" makatili...broh Mungu atusamehe tu kwa maana aliyeturoga nae kauliwa na "mwarabu" sijui[emoji855]Usiende mbali hapo juzi juzi tu Afrika ya Kati wakati kuna mapigano ya Kidini niliona clip waafrika wanaua mtu wanamla nyama mbichi mbichi na kunywa damu, hapo Congo waasi nasikia wamewatafuna mbirikimo kama wanyama. Pia kila siku wanaua watu na kuwakata wanawake sehemu za siri na maziwa
Labda hao sio binadamu kisa sio ccm.huu ujinga wa kumuona asie chama tawala si binadamy sijui utaaisha lini.na bahati mbaya hata mtukufu saaaanaaaa aliye inuliwa juuuuu tangu tanganyika iumbwe nae ana amini hivyo.1. Kummiminia Tundu Lisu risasi 30
2. Kukata kichwa kwa shoka Alphonce mawazo
3. Kumsambaratisha matumbo Saudi mwangosi
4. Kumkata shingo mwenyekiti cdm USA liver Arusha
Nk nk
Tanzania ni zaidi ya kashogi