Kasi ya Aslay yatoa Ufa ukuta wa kifalme wa diamond na kiba

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,498
Reaction score
1,216
Hapa katikati Aslay anakuja kwa Kasi kiasi cha kutishia ufalme wa kiba na diamond.

Ile show ya Mwanza tigo fiesta ilitoa majibu kuwa ASlay ni anakuja kuvunja ukuta wa kifalme wa kiba na diamond
 
Hadi afike alipo Mond Baada ya miaka mingi na apate ma manager wazuri BTW Yupo vzr namkubali
Am Mond Die hard fan..
 
afadhali bwana maana tumewachoka hao kina kiba na diamond
 
Hilo shangwe analopata aslay fiesta ya mtwara, mwanza, iringa na mbeya diamond huwa analipata congo, uganda, mayote, zimbabwe, zambia na nigeria. Sijajua umewafananisha kwa lipi?
 
Hilo shangwe analopata aslay fiesta ya mtwara, mwanza, iringa na mbeya diamond huwa analipata congo, uganda, mayote, zimbabwe, zambia na nigeria. Sijajua umewafananisha kwa lipi?
kwani mwanadamu si yuleyule, au yana kuzingua hayo majina ya nchi
 
Acha kumlinganisha Diamond na UJINGA..
 
Ni upepo tu utapita diamond is there to stay na hakuna atakae mfikia hata robo even if akifulia
 
kwani mwanadamu si yuleyule, au yana kuzingua hayo majina ya nchi
Kweli kabisa timu ni zile zile yanayotuzingua ni majina tu mf; Yanga na Manchester united, ukizingatia yanga anajaza uwanja wa taifa kama manchester wanavyojaza old traford
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…