Kasi ya D Voice inatisha sana. Anawakalisha wakongwe kwenye game

Kasi ya D Voice inatisha sana. Anawakalisha wakongwe kwenye game

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20231120_191513.jpg


Supastaa mpya mjini D Voice aka Jini ameianza safari yake ndani ya Wasafi kwa kasi ya kutishia sana. Ameweza kuingiza nyimbo zote kwenye trend za Tanzania uku nyimbo tano zikiwa kwenye top 10.

Tafsiri yake ni kwamba kijana kakubalika mno na kila mtanzania kila mtu ana shauku ya kumskiza supastaa D Voice.

Kwa huu moto ikiwa ajamaliza ata wiki ni hatari uko mbeleni dogo ni future ya bongofleva.

Happy Dvoice week to everyone!
 
View attachment 2820097

Supastaa mpya mjini D Voice aka Jini ameianza safari yake ndani ya Wasafi kwa kasi ya kutishia sana. Ameweza kuingiza nyimbo zote kwenye trend za Tanzania uku nyimbo tano zikiwa kwenye top 10.

Tafsiri yake ni kwamba kijana kakubalika mno na kila mtanzania kila mtu ana shauku ya kumskiza supastaa D Voice.

Kwa huu moto ikiwa ajamaliza ata wiki ni hatari uko mbeleni dogo ni future ya bongofleva.

Happy Dvoice week to everyone!
Msipende kukurupuka kuleta humu chats zenu za kutengeneza pasipo kuedit!...

Sasa kama hapo.. Namba 1 na namba7 ni nyimbo mbili tofauti!?... Mnachekesha sana!... Nyimbo moja ishike nafasi 2 kwa wakati mmoja!?

Ishike Namba 1&7....!? Huu upuuzi...peleka FB..!
Tulioko humu ni watu wazima!!

Wapuuzi nyie👇
 

Attachments

  • StitchIt_20232011103140_406.png
    StitchIt_20232011103140_406.png
    57.2 KB · Views: 8
Msipende kukurupuka kuleta humu chats zenu za kutengeneza pasipo kuedit!...

Sasa kama hapo.. Namba 1 na namba7 ni nyimbo mbili tofauti!?... Mnachekesha sana!... Nyimbo moja ishike nafasi 2 kwa wakati mmoja!?

Ishike Namba 1&7....!? Huu upuuzi...peleka FB..!
Tulioko humu ni watu wazima!!

Wapuuzi nyie👇
Uelewi ata unachokosoa itoshe kusema mambo ya music sio yako umedandia tu
 
Msipende kukurupuka kuleta humu chats zenu za kutengeneza pasipo kuedit!...

Sasa kama hapo.. Namba 1 na namba7 ni nyimbo mbili tofauti!?... Mnachekesha sana!... Nyimbo moja ishike nafasi 2 kwa wakati mmoja!?

Ishike Namba 1&7....!? Huu upuuzi...peleka FB..!
Tulioko humu ni watu wazima!!

Wapuuzi nyie👇
Ningechukua Mwaka kugundua Shukrani sana mkuu
 
Msipende kukurupuka kuleta humu chats zenu za kutengeneza pasipo kuedit!...

Sasa kama hapo.. Namba 1 na namba7 ni nyimbo mbili tofauti!?... Mnachekesha sana!... Nyimbo moja ishike nafasi 2 kwa wakati mmoja!?

Ishike Namba 1&7....!? Huu upuuzi...peleka FB..!
Tulioko humu ni watu wazima!!

Wapuuzi nyie👇
Namba moja ni video, namba 7 ni audio....
 
Back
Top Bottom