Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ni Mara 4 zaidi ya Kenya, Tanzania kuzipita Ethiopia na Rwanda

Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ni Mara 4 zaidi ya Kenya, Tanzania kuzipita Ethiopia na Rwanda

Hizi ni ndoto za mchana, kiingereza kinawakanganya sanaaa. Kinachozungumziwa sio Tz kuzipiku nchi za Kenya au Ethiopia kiuchumi, bali ni ukuaji tu wa uchumi wa % kubwa zaidi ya nchi hizo zilizotajwa. Kwa ukuaji huo wa uchumi wa Tz kwa 5.2% na GDP yenu ya $63B, kuifikia GDP ya Kenya ya $107B(Q1/2020) itachukua miaka zaidi ya 17. Alafu hapo itabidi ukuaji wa uchumi wa Kenya uwe 0% kwa miaka zaidi ya 15.
GDP107 - 70 =37ndio ituchukue miaka 15? Au mwenzetu unapopiga hesabu ya mtaji wako halisi unajumlishia na za watu
 
Yani ushajiamishia kwamba kuipiku kenya mpk muiombee maafa..
Hahahaaa!!basi kw taarifa yenu Mungu atatusaidia duniani huu ugonjwa utapita tu..

Tumia wakati wenu angalau kupunguza gepu, manake mambo yakirudi sawa huku kwetu na duniani kote basi itabidi mmekua mikia hadi na nyinyi mjaliwe.
Kwani Wakenya wanamungu? So mlimcrash magu aliposema mungu atailinda nchi mkasema ' He is insane' au mmesahau.
IMG_20200711_064214.jpg
 
Nyang'au wamechanganyikiwa, yuko moja huku vijijini anahangaika kujificha kama digidigi anayewindwa. Amekosa permits
 
Tanzania ‘to register fastest economic growth in East Africa

Dar es Salaam. Tanzania’s economy is forecast to grow at 5.2 percent this year, while six Eastern African countries’ economies are projected to plunge into recession, blaming the trend on the Covid-19 pandemic, a new report shows.
The new projection by the African Development Bank (AfDB) is lower than the 6.4 percent it projected before the pandemic. Tanzania’s growth will beat 12 other Eastern African countries in 2020, according to the report. The government predicts the economy will grow by 5.5 percent this year, while the World Bank projects it to slow to 2.5 percent.

The six countries which are projected to go into recession in 2020 are Seychelles (-10.5), Sudan (-7.2), Burundi (-5.2), Somalia (-3.3), Comoros (-1.2) and South Sudan (-0.4).

The other six countries will grow economically - but doing so at arelatively lower rate than Tanzania. The countries (with their growth rate percentages in brackets) are Rwanda (4.2), Ethiopia (3.1), Uganda (2.5), Kenya (1.4), Djibouti (1) and Eritrea (0.3).

“Despite the projected slowdown, real GDP growth in Tanzania will benefit from increased prices of gold, a major national export,” reads the report in part.

Gold is Tanzania’s leading foreign exchange earner after overtaking tourism this May, largely due to increased prices and production volumes.

Gold reached above $1,800 an ounce Wednesday for the first time since 2011, with the precious metal benefitting from its ‘safe haven’ status as the coronavirus outbreak triggered global economy fears.

Gold price was $1,257.35 in May 2019. The price surge partly contributed to making gold Tanzania’s leading foreign exchange earner, overtaking tourism which has been hit hard by the Covid-19 global pandemic.

Going by the Bank of Tanzania’s latest report, gold export earnings increased by 46.8 percent, to $2.5 billion (about Sh5.8 trillion) in the year to May 31, 2020.

Tourism earnings went down from $2.5 billion (Sh5.8 trillion) to $2.3 billion (Sh5.3 trillion) in the same period.
Real GDP growth, the report adds, would also benefit from reduced oil prices.

The Finance and Planning minister, Dr Philip Mpango, is on record as saying that Tanzania - which registered the first case of the Covid-19 in mid-March - was less hit by the pandemic because of the measures it took to cushion the economy.

While other countries imposed partial or total lockdowns, Tanzania did not do so in hopes of protecting the people, a majority of whom are “hand-to-mouth” cases.

The swift and massive shock of the coronavirus pandemic and shutdown measures to contain it are reported to have devastated economies of many countries across the globe.

At the regional level, the GDP growth projection has taken a hit in the face of the pandemic, with East Africa’s GDP projected to grow at 1.2 percent: far below the earlier projection of 5.1 percent.

The region’s economic growth remains robust amid emerging challenges - and until the Covid-19 outbreak, whose first cases were confirmed in late December last year, peters out.

Three East African countries - namely Tanzania, Ethiopia and Rwanda - are among the six African countries in the top-10 fastest-growing economies in the world.

The region’s real GDP growth was 5.2 percent in 2018 - but slowed down to 5 percent in 2019.

The estimated slowdown in 2019 was mainly a result of adverse weather conditions and fiscal consolidation that constrained growth in public sector infrastructure projects.

Multiple political and socio-economic policy interventions are necessary to harness East Africa’s growth prospects and mitigate the underlying external and domestic risks, says the report.

The basket of measures include a bold and coordinated response to the crisis; consolidating peace and stability; accelerating structural transformation, and strengthening macroeconomic policy coordination.

Other interventions may include diversifying the development financing sources; deepening regional integration, and developing skills for workforces of the future.

“A decisive and coordinated response is necessary to contain the spread of Covid-19, and mitigate its health and socio-economic effects,” reads the report in part.

Source: The Citizen

=========

MY TAKE: Tunaomba Watanzania kuendelea kumuomba Mungu ili Corona iendelee kuwepo
Kenya ni wachumba tu. Ndiyo maana sisi tunawaoa lakini wao hawaowi kwetu. Hii ni kutokana na kwamba hawana uwezo wa kulipia mahari kwa walembo wetu.

Nyanya, cabbage, vitunguu, mchele, ndizi, matunda, mahindi wananunua toka kwetu. Hii ina maanisha kwamba wao wananunua kwetu zaidi ya sisi tunavyonunua kwao. Hivyo ni lazima tuwakimbize kwa mwendo wa mbio za mita 100.

Miaka ya nyuma sisi ilikuwa tunanunua toka kwao viyu vingi vya viwandani lakini kwa sasa wao ni wategemezi wetu hasa kwa vyakula na law materials kwa ajili ya viwanda.

Mende sana hao watu. Walikuwa ni wauzaji wa 2 wa Tanzanite duniani baada ya India wakati hawana hata shimo moja la kuchimba Tanzanite. Kwa sasa wanasikia tu matangazo kwenye vyombo vya habari yanayohusiana na Tanzanite. Eti wanasema yule billionea wa Tanzanite ni Mmasai wa Kenya!!
 
Replying to
@HecheJohn
There is Lower-Middle Income and Upper middle income these words differs from Middle income. Tanzania sisi tupo kwenye lower middle income, baada ya miaka 50 tutaenda upper middle income the after 50 years again we will go High-Income. Yani tunahitaji miaka 100 kufika High Middle Income
Hahahaha, kuna baadhi ya nchi badala ya kwenda juu zinashuka chini kama ilivyoshuka Sudan na Algeria
 
Yani ushajiamishia kwamba kuipiku kenya mpk muiombee maafa..
Hahahaaa!!basi kw taarifa yenu Mungu atatusaidia duniani huu ugonjwa utapita tu..

Tumia wakati wenu angalau kupunguza gepu, manake mambo yakirudi sawa huku kwetu na duniani kote basi itabidi mmekua mikia hadi na nyinyi mjaliwe.
***** zenu baada ya kudhibiti madini yetu sasa mnalia kilio cha mbwa mwizi. Mkileta jeuli tutazuia chakula chetu kisiingie nchini kwrnu mfe njaa na pia tutazuia matunda yetu yasiingie nchini kwrnu mfunge viwanda nyang'au wa bluu.
 
Mlikuwa ndio mdudu gani
Wajua kitu ambacho watu wengi hawajui haswa watanzania wanaamini kenya hakuna gold, Ndio haina kwa hicho kiwango Cha tanzania lakini gold in kakamega is estimated at 500 billion dollars. Leo hii ukaenda vihiga na kakamega utashangaa kuona wachimbaji wadogo wadogo wa gold wameweka shaft zao, hata Mimi Nina shaft zangu mbili moja vihiga na moja kakamega. Na central bank haina hizo data maana Hakuna Ile major investment from big companies , but individual investment from small scale miners .

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Wacha kupanic kaka, uzi unazungumzia kasi ya kukua kwa uchumi. Kasi ya kukua uchumi wa Tanzania mwaka huu ni Mara nne zaidi ya Kenya. Kabla ya Corona, kasi ya kukua ya Ethiopia na Rwanda ilikua kubwa kuliko Tanzania, ila Covid imegeuza hiyo hali, sasa hivi kasi ya Tanzania imezidi Rwanda na Ethiopia.
Hajapanic ni njaa iko kwa kichwa hali ni mbaya huko kwao, hats pasi ndefu haipigiki
 
Hizi ni ndoto za mchana, kiingereza kinawakanganya sanaaa. Kinachozungumziwa sio Tz kuzipiku nchi za Kenya au Ethiopia kiuchumi, bali ni ukuaji tu wa uchumi wa % kubwa zaidi ya nchi hizo zilizotajwa. Kwa ukuaji huo wa uchumi wa Tz kwa 5.2% na GDP yenu ya $63B, kuifikia GDP ya Kenya ya $107B(Q1/2020) itachukua miaka zaidi ya 17. Alafu hapo itabidi ukuaji wa uchumi wa Kenya uwe 0% kwa miaka zaidi ya 15.
Tz itakuja kudouble gdp pale tutakapoanza uwekezaji rasmi wa $30B wa LPG, Mradi wa kufua chuma mchuchuma na liganga na Miradi ya kurahishisha usafirishaji wa makaa ya mawe...haya yanaweza kufanyika miaka mitano ijayo tu,KE mnajitajidi Sana lakini mkae mkao tofauti Maana tumeamka kivingine
 
Hili eneo kwangu lilishagonga mwaba kitambo sana ubongo unashindwa kutasiri ili jambo na likitasiri halielewi coz mi maisha yangu ni yale kipato ni kile kile wanaonizunguka nao namimi ni mulemule au kuongezeka huku kuna wahusu baadhi ya watu na baadhi ya watu hawausiki?!
 
Wajua kitu ambacho watu wengi hawajui haswa watanzania wanaamini kenya hakuna gold, Ndio haina kwa hicho kiwango Cha tanzania lakini gold in kakamega is estimated at 500 billion dollars. Leo hii ukaenda vihiga na kakamega utashangaa kuona wachimbaji wadogo wadogo wa gold wameweka shaft zao, hata Mimi Nina shaft zangu mbili moja vihiga na moja kakamega. Na central bank haina hizo data maana Hakuna Ile major investment from big companies , but individual investment from small scale miners .

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, kama Kenya ina gold ya $500B, basi Tanzania itakua na dhahabu yenye thamani ya $500trilion.
 
Even if Tanzanian economy grows with more than 20percent this year bado hamtafikia kenya
 
Even if Tanzanian economy grows with more than 20percent this year bado hamtafikia kenya
Kufikia kitu gani wakati mbakufa kwa njaa, kipindupindu, upungufu wa MAJI, unemployment, high cost of living, international debts. Are you OK with all these so long as you read that Kenya has bigger GDP?
 
Hizi ni ndoto za mchana, kiingereza kinawakanganya sanaaa. Kinachozungumziwa sio Tz kuzipiku nchi za Kenya au Ethiopia kiuchumi, bali ni ukuaji tu wa uchumi wa % kubwa zaidi ya nchi hizo zilizotajwa. Kwa ukuaji huo wa uchumi wa Tz kwa 5.2% na GDP yenu ya $63B, kuifikia GDP ya Kenya ya $107B(Q1/2020) itachukua miaka zaidi ya 17. Alafu hapo itabidi ukuaji wa uchumi wa Kenya uwe 0% kwa miaka zaidi ya 15.
Lete evidence gdp ya kunyaland $107
 
Tz itakuja kudouble gdp pale tutakapoanza uwekezaji rasmi wa $30B wa LPG, Mradi wa kufua chuma mchuchuma na liganga na Miradi ya kurahishisha usafirishaji wa makaa ya mawe...haya yanaweza kufanyika miaka mitano ijayo tu,KE mnajitajidi Sana lakini mkae mkao tofauti Maana tumeamka kivingine
hi miradi imefikia wap hasa huo wa kufua gas
 
Kufikia kitu gani wakati mbakufa kwa njaa, kipindupindu, upungufu wa MAJI, unemployment, high cost of living, international debts. Are you OK with all these so long as you read that Kenya has bigger GDP?
Hii ndo tunaiita horn effect .when was the last time you had people die of hunger in Kenya

Talking of debts we have been at a worse place than where we are at the moment.
In the year 2000s Kenya's debt to GDP ratio was at a record 78.1 percent.We have always paid our debts na hatujawahi samehewa kama Tanzania.
 
Hahahaha, kama Kenya ina gold ya $500B, basi Tanzania itakua na dhahabu yenye thamani ya $500trilion.
Kenya Ina gold kibao tu watu hawajui siku moja fanya tu field tour , utajua,nenda kule macalder mines in migori upate watanzania wenzako wamejaa kule, nenda kakamega na vihiga upate akina Jerome walivyorundikana kule ndio wachorongaji wakuu, nenda pokoti gold ya pokoti ni 96% pure haihitaji mercury,huku leaching is the order of the day.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni ndoto za mchana, kiingereza kinawakanganya sanaaa. Kinachozungumziwa sio Tz kuzipiku nchi za Kenya au Ethiopia kiuchumi, bali ni ukuaji tu wa uchumi wa % kubwa zaidi ya nchi hizo zilizotajwa. Kwa ukuaji huo wa uchumi wa Tz kwa 5.2% na GDP yenu ya $63B, kuifikia GDP ya Kenya ya $107B(Q1/2020) itachukua miaka zaidi ya 17. Alafu hapo itabidi ukuaji wa uchumi wa Kenya uwe 0% kwa miaka zaidi ya 15.
$107 B mmeingia lini? Ama ni projection?
 
Back
Top Bottom