Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Huko kusini wanamuiga mtume mhamadi alioa kabinti ka miaka tisa Kwa mujibu wa maandiko Yao wanavyosema.ukichanganya na ukosefu wa elimu ndiyo hupelekea watu wa huko kuzaa wakiwa watoto
Wewe acha ujinga wako Mtume Muhammad sio babu yako au sio kabila lako, hiyo tabia ya kuchokoza waislamu kila Mada ya jf acheni kibisa, chuki zako zipeleke kwenu.
 
Mwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.

Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.

Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.

Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii

1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.

Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.

2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.

3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.

Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga

Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.

Something has to be done aisee.
Kwa sàsa hali itakuwa mbàya zaidi, RAIS karuhusu wazae halafu warudi shule kuendelea na masomo unafikiri hii hali nani ata intervene tena?
TENA RÀIS MWANAMKE.
 
Huko kusini wanamuiga mtume mhamadi alioa kabinti ka miaka tisa Kwa mujibu wa maandiko Yao wanavyosema.ukichanganya na ukosefu wa elimu ndiyo hupelekea watu wa huko kuzaa wakiwa watoto
Achana na hadithi, tuongelee wakati tuliopo sisi tuko hai ndo inabidi tuboreshe maisha.
Sàsa kàmà kiongozi wà nçhi, Rais mwanamke ànaruhusu watoto wazae watoto halafu wakaendelee nà masomo unadhani hao wasichana watajali nini tena?
Unàzaa ukiwa la nne halafu unaendelea na masomo. Tàtizo liko wàpi?
 
Mwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.

Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.

Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.

Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii

1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.

Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.

2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.

3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.

Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga

Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.

Something has to be done aisee.
Bora hao wanazaa ni jambo zuri mnoooo........kuliko watoto wangu na wako wanaosoma kizungu watazaa wakiwa na miaka 30 huko,ila kazi kumeza dawa za kuzuia mimba na kutoa mimba
 
Serikali ni kama imetelekeza kabisa suala la elimu na huduma za uzazi wa mpango kwa umma.

Sisikii tena zile kampeni za nyota ya kijani katika redio!
Sasa binti kuzaa hio ni changamoto?,.....ulitaka wazae wavulana,......upo tayari Binti yako,Miaka 15 hadi 25 atoe mimba ila anayezaa amekosea?.......kisha ndio munajiona wasomi
 
Back
Top Bottom