Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuige ya Wachina basi.Lakini hayo sii ndio maisha yetu jamani mbona tunataka sana kuiga maisha ya wazungu
Wewe acha ujinga wako Mtume Muhammad sio babu yako au sio kabila lako, hiyo tabia ya kuchokoza waislamu kila Mada ya jf acheni kibisa, chuki zako zipeleke kwenu.Huko kusini wanamuiga mtume mhamadi alioa kabinti ka miaka tisa Kwa mujibu wa maandiko Yao wanavyosema.ukichanganya na ukosefu wa elimu ndiyo hupelekea watu wa huko kuzaa wakiwa watoto
Kwa hiyo ni uongo hakuoa mwenye umri wa miaka tisa?.Wewe acha ujinga wako Mtume Muhammad sio babu yako au sio kabila lako, hiyo tabia ya kuchokoza waislamu kila Mada ya jf acheni kibisa, chuki zako zipeleke kwenu.
Kwa sàsa hali itakuwa mbàya zaidi, RAIS karuhusu wazae halafu warudi shule kuendelea na masomo unafikiri hii hali nani ata intervene tena?Mwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.
Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.
Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.
Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii
1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.
Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.
2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.
3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.
Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga
Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.
Something has to be done aisee.
Acha chuku zako mkuu utaadhibiwa bure, uwe mstaarabu tu.Kwa hiyo ni uongo hakuoa mwenye umri wa miaka tisa?.
Achana na hadithi, tuongelee wakati tuliopo sisi tuko hai ndo inabidi tuboreshe maisha.Huko kusini wanamuiga mtume mhamadi alioa kabinti ka miaka tisa Kwa mujibu wa maandiko Yao wanavyosema.ukichanganya na ukosefu wa elimu ndiyo hupelekea watu wa huko kuzaa wakiwa watoto
Bora hao wanazaa ni jambo zuri mnoooo........kuliko watoto wangu na wako wanaosoma kizungu watazaa wakiwa na miaka 30 huko,ila kazi kumeza dawa za kuzuia mimba na kutoa mimbaMwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.
Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.
Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.
Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii
1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.
Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.
2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.
3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.
Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga
Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.
Something has to be done aisee.
Sasa wale si wanasifika Kwa uzuri lakini au ?!!!Basi ukifika Singida ndani ndani utalia sana kiongozi. Mwanamke wa miaka 32 Singida anategemewa kuwa bibi wakati wowote.
Wanabeba mimba wakiwa wadogo sana na ni kitu cha kawaida kwao miaka 15 ni mtu mzima kabisa na analazimisha yeye mwenyewe kubeba mimba.
Sasa binti kuzaa hio ni changamoto?,.....ulitaka wazae wavulana,......upo tayari Binti yako,Miaka 15 hadi 25 atoe mimba ila anayezaa amekosea?.......kisha ndio munajiona wasomiSerikali ni kama imetelekeza kabisa suala la elimu na huduma za uzazi wa mpango kwa umma.
Sisikii tena zile kampeni za nyota ya kijani katika redio!
Kuna pisi lakini au?!!!Kanda ya z
iwa mkuu utajionea mwenyewe
Sijui umeelewa kilichoandikwa?Bora hao wanazaa ni jambo zuri mnoooo........kuliko watoto wangu na wako wanaosoma kizungu watazaa wakiwa na miaka 30 huko,ila kazi kimeza dawa za kuzuia mimba na kutoa mimba
Kijana wangu huyo raraa reree ni specialised liker. Nimemtuma kupeleka parcel shekilango mpaka muda huu hajafika kumbe kajibanza sehem anaingia jamii forumsraraa reree una balaa zito, sijamaliza ku edit uzi wangu umesha like!
Tanzania mzima hali ni hiyo hiyo aiseeHiyo mikoa ina watu mbembembe kweli yani. Kichwani wako shebele shebele na ulozi na mambo ya kijinga huko ndo mahala pake. Elimu bado iko chni sana mana factor kubwa ya kuchelewa kuzaa au kuzaa watoto wachache kwa jinsia hiyo ni elimu
Duh!!!Watoto wanautaka wenyewe...Huku Kusini sasa kama hujui watu hawazai watoto wengi ila Wanawake wanazaa mapema...akishakuwa na mtoto Mmoja basi hazai na wala haolewi...ndio muda wa kupiga show za Ndondo
poKuna pisi lakini au?!!!