Pre GE2025 Kasi ya wataka Ubunge kuja na mapambio kuhusu Rais Samia, ni uthibitisho tosha kuwa anayewaweka Madarakani ni Rais sio Wananchi !!. Katiba mpya lazima

Pre GE2025 Kasi ya wataka Ubunge kuja na mapambio kuhusu Rais Samia, ni uthibitisho tosha kuwa anayewaweka Madarakani ni Rais sio Wananchi !!. Katiba mpya lazima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Spinning za uchawa nchi hii zimeanza na kundi la wanamtandao wakimtengeneza Kikwete kuwa rais.. walinunua waandishi wa habari kuwachafua walikuwa tishio kwake..Nchi nzima ikaimbishwa sifa hewa za Kikwete hata kabla hajawashika madaraka.. mwishoni mwa utawala wa Mkapa alionekana rais kivuli.. nchi nzima ilikuwa chini ya kundi la wanamtandaot.. km unaweza kukumbuka ukwapuaji wa pesa pale BOT kwenye akaunti ya EPA..
Ni sawa usemayo, lakini Magufuli yeye alisifiwa waziwazi, tena kwa mabavu. Bora hata huyo JK ilikuwa ni kucheza na saikilojia zaidi.
 
Ni sawa usemayo, lakini Magufuli yeye alisifiwa waziwazi, tena kwa mabavu. Bora hata huyo JK ilikuwa ni kucheza na saikilojia zaidi.
Nguvu gani aliyoitumia Magufuli kulazimisha watu wamsifie ? leo ni miaka takribani 4 tangu afe bado jina lake lipo midomoni kwa watu, ukiingia mitandaoni iwe Fb, Insta,Youtube,Tiktok et,bado video clip zake ziko random na mamilioni ya viewers.. wewe ungesema tu unapenda kufanya Personal attack tu kwa Marehemu..
 
Ni sawa usemayo, lakini Magufuli yeye alisifiwa waziwazi, tena kwa mabavu. Bora hata huyo JK ilikuwa ni kucheza na saikilojia zaidi.
Kulikuwa na hafla moja Waziri wa Mambo ya ndani wa wakati ule..Kangi Lugola alipoanza kutoa hotuba yake alimpamba sn Magufuli kwa tambo nyingi ..lkn baada ya Magufuli kuanza kuhutubia akamtumbua palepale na kusifia kwake...
 
Nguvu gani aliyoitumia Magufuli kulazimisha watu wamsifie ? leo ni miaka takribani 4 tangu afe bado jina lake lipo midomoni kwa watu, ukiingia mitandaoni iwe Fb, Insta,Youtube,Tiktok et,bado video clip zake ziko random na mamilioni ya viewers.. wewe ungesema tu unapenda kufanya Personal attack tu kwa Marehemu..
Narudia tena, hii tabia ya kusifiana mausisi wake mkuu alikuwa Magufuli, na alitumia madaraka yake kuhakikisha anapata sifa hizo. Sina tatizo na jina lake kuwa midomoni mwa watu au kupata viewers wengi maana hiyo ni haki yao, ila yeye ndio muasisi wa huu uchawa mbuzi.
 
Tatizo la Tanzania si Katiba, bali wasimamia Katiba.
Mwisho wa siku Mahakama zitakuwa upande wa mtoa ugali
 
Back
Top Bottom