Kasie and Kenyan Boy

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
UHeee yoooooh,

Natumai mko poa Glory to God I had a blast this weekend partying like a duck. I just love myself.

Ijumaa hii sikuwa na gari nilichukua bajaji kuelekea mwenge kulikuwa na foleni balaa hata watu wa bajaji wakawa wanaringa na kupandisha bei kisa foleni kubwa. Nikaiona bajaji moja ina abiria wawili mie nikaingia nikawa abiria wa 3 tukasubiri yule abiria anayekaa na dreva ndo tukasepa. Ile Nimekaa vizuri Nasikia Hi Kasie, kugeuka looh was a Kenyan boy ambaye nilishamsemaga humu. I can read his mind alitaka yule abiria wa kati ashuke tubakie wawili. Wale abiria wawili walishukia sayansi ..... kilichoendelea hapo my week end was superb thank God ........
Kutokana na uzoefu wangu Kenyan boy ķa fall kwa Kasie ila ......
He looks like a boy on the outer but he is a man.
Crush......!!!??? Nah...... it's falling.
Kind of tungo tata mwerevu kuifumbua
 
Mwanaume ku fall, in love I would assume, sio kitu rahisi. Tamaa ya ngono ni wakati wote!
Kuna tofauti kubwa hapo.
 
Come date me kasie,i am all u want!!dont jump jump kwa boys unahtaj njemba sasa cuz i can see ya hot lyk a jehanum fire!
 
Dah nimepita kapa yaani ndoho genho gete echonelelagwa nkoi kasinde.
 
Kafall in love? Sema anataka kukula tu
 
chuu!!onene nabhona adosange oise bhagosha awaleke bhayanda yanda,nantogilwe gete oo kasie!
 
My dada ajuza kasie......

Nialike namimi weekend,
 
Dah nimepita kapa yaani ndoho genho gete echonelelagwa nkoi kasinde.

Yaan toka mtoe prezoo ndo mnataka na lugha yenu ndo iwe ya Taifa daaah mpk miaka mitano iishe tutakoma
 
Babu Asprin mwone mjukuu wako
 
Last edited by a moderator:
When will one of those crashes graduate into love Kasie? Don't you crave for some stability?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…