Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwa wataalamu wa siasa na mikakati ya kuwaweka pembeni watu ambao wana nguvu kisiasa nchni, je endapo Waziri Mkuu wa sasa atateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM atakuwa ameula au itakuwa njia ya kuzika ndoto zake kisiasa?
Nini madhara ya mkakati wa kumteua kuwa Makamu Mwenyekiti? Ataweza kuendelea kuwa Waziri Mkuu next term ?
Nini madhara ya mkakati wa kumteua kuwa Makamu Mwenyekiti? Ataweza kuendelea kuwa Waziri Mkuu next term ?