Vipi Kisumu? Mbona inasahaulika?
Vipi Kisumu? Mbona inasahaulika?
Unataka ku compare Kisumu na Moyale?Vipi Kisumu? Mbona inasahaulika?
Ndoto za mchana au bado umelalaTulifungua nyuzi nyingi sana za mambo makubwa yanayofanyika Kisumu, sema huoni wala husikii.
Kwanza Kisumu inakuja kuwapa ushindani mkubwa sana nyie wa Kolominje, itakua kitovu cha biashara ukanda huu.
SGR inatua hapo Kisumu ambapo kunajengwa bandari kubwa sana itakayo wanufaisha watu wa Mwanza, Kagera, Uganda, Rwanda, Burundi n.k.
duh,mazombie wanatoa povuuuu kweli na bado ile ya nadapal ndio inajengwa tuungane na wasudi nyweeeeee,raha kweli😀..hakuna kupita ug tenaUnataka ku compare Kisumu na Moyale?
Kisumu was never economically marginalised, Kisumu is politically marginalized, but places like north of Kenya are both politically and economically marginalised.... Kwahivyo maendeleo unayoyaona huko ni mara ya kwanza tangu tupate uhuru wa nchi hakujawahi fika lami huko, alafu kuna watz wengine wanasema eti lapsset ni white elephant? Umeona vile hio video imeoshesha b4 and after? Sahii majengo mapya, shopping center yanatokezea kando kando ya barabara kote, wanapata maziwa fresh toka Nairobi
Nahii nayo utasemaje, Upande wa Kenya, project nyengine inaitwa 'Lake victoria ring road' 450km , approx $500million USD ... Ujenzi unaanza Q4 ya mwaka ujao 2018Ndoto za mchana au bado umelala
Hiyo hela mnayo tayar au mnaendelea kuongeza deni hahahahNahii nayo utasemaje, Upande wa Kenya, project nyengine inaitwa 'Lake victoria ring road' 450km , approx $500million USD ...View attachment 661651 View attachment 661652
Afadhali uwe na deni ma uishi maisha Mazrui kuliko uwe hauna deni na unateseka. Madeni yote hayo yatakuja jilipia yenyewe maisha ya wananchi yakiboreka itakua ni wengi zaidi wanaolipa kodi kwa serekali ili kuwezesha madeni kulipwa.Hiyo hela mnayo tayar au mnaendelea kuongeza deni hahahah
I'm very touched with this tremendous transformation. Kenyans are good in action rather than politics. For the Nairobi -Moyale road completion is a great victory to the communities living there. Mass developments will be realized as you have now a good connections to Ethiopia.
Hii project yenu ambayo iko full funded na world Bank, ilikuwa ujenzi wake ukamilike December 2017,Nahii nayo utasemaje, Upande wa Kenya, project nyengine inaitwa 'Lake victoria ring road' 450km , approx $500million USD ... Ujenzi unaanza Q4 ya mwaka ujao 2018View attachment 661651 View attachment 661652
Maendeleo yetu ya project huku yanaskika na kuonekana, sio kelele na maneno mengi tu kama watu wengine. Mbali na ukosefu wa amani, rushwa ya hali ya juu, ukabila....lakini hivyo hivyo bado tunazidi kuchana mbuga, sijui Kenya ingekua wapi kama tungetatua hayo maovu
Hiyo hela mnayo tayar au mnaendelea kuongeza deni hahahah
Saa nan anaishi maisha magumu kati yetu na yenu????Afadhali uwe na deni ma uishi maisha Mazrui kuliko uwe hauna deni na unateseka. Madeni yote hayo yatakuja jilipia yenyewe maisha ya wananchi yakiboreka itakua ni wengi zaidi wanaolipa kodi kwa serekali ili kuwezesha madeni kulipwa.
Ya Isiolo mpaka moyale $500m imeshakamilika.
Ya lamu - Garissa hadi Isiolo ndo tender imetangazwa.
Ya Isiolo hadi nadapal/nakodok border ya S.Sudan $450m 400km ujenzi umeanza.
Ujenzi wa Barbara ya isiolo to S.sudan
View attachment 661685 View attachment 661688 View attachment 661689 View attachment 661690 View attachment 661691
Maendeleo yetu ya project huku yanaskika na kuonekana, sio kelele na maneno mengi tu kama watu wengine. Mbali na ukosefu wa amani, rushwa ya hali ya juu, ukabila....lakini hivyo hivyo bado tunazidi kuchana mbuga, sijui Kenya ingekua wapi kama tungetatua hayo maovu
Acha bangi wewe utadataa shauri yakoUnafikiri sisi ni kama nyinyi maskini wa akili wa ujamaa
Unaongelea Barbara gani? Lake victoria ring road propasal ilifanyika june 2016, ndo wakafanya public participation, design and EIA imefamyika 2017 ... Kawaida project aina hii haswaa kama pesa zinatoka world bank hua kuna issue nyingi lazma utatue ... Alafu hizo pesa za world bank si za bure, lazma ziregeshwe tena na faida juuHii project yenu ambayo iko full funded na world Bank, ilikuwa ujenzi wake ukamilike December 2017,
Unaweza kutupa sababu za kina kwa nini Ujenzi huo hata haujaanza (achilia mbali kukamilika) na sasa unapelekwa mbele hadi Q4 2018?
Muulize mkaazi wa moyale maisha ya 2012 vs maisha ya 2017. Afadhali maisha gani? Barabara+deni vs hakuna-barabara-wala-deniSaa nan anaishi maisha magumu kati yetu na yenu????