Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote

Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote

Unafikiri sisi ni kama nyinyi maskini wa akili wa ujamaa
Ndugu yangu unanishangaza, nimetizama hiyo video nimesikitika, hao jamaa Northern Kenya hakika wanaishi kama mashetani,
Jamaa anadai ilichukua siku 2 polisi kufika eneo la tukio, duh hawa middle income vipi?
Yaani Tanzania inaunganishwa kwa lami mikoa YOTE na nchi zetu zote tulizopakana nazo UG, RW, KE, Zambia, Malawi, Zote hizo zimeunganishwa kwa paved roads miaka zaidi ya 10 iliyopita,
Leo 2017 ndio kwanza mnajengewa na WB hiyo Barabara bila aibu mnafungua Uzi.
Kenya ni nchi maskini mno,
Halafu masuala ya Usafiri wa Umma na Mizigo kwa njia zote mna mengi ya kujifunza kwetu,
Jifunzeni hata kwa makampuni ya mabasi ya Abiria yanayopiga routes za Nai-Dar, au Dar Msa
Kwa hiyo video You are poor guys, very poor.
 
Ndoto za mchana au bado umelala
Ni wapi ambapo project hazionekani? Hapa kwetu barabara zinafunguliwa kila siku, na tuna connection nzuri sana na nchi zote tunazopakana nazo, rwanda, burundi, Uganda, Zambia, na nyie hapo north! kote huko barabara zinapitika vizuri! Sitaki kurudia kuongea khs mipango ya Uganda!

Kingine unafaa ufahamu ni kuwa, asilimia kubwa ya bajeti ya tz iko kwenye miundombinu, Afya na Elimu.

Labda tukukumbushe kuwa kutokana na kelele za nduguzo wakenya, tulipunguza kupost habari za tz kwenye jukwaa hili. Hivyo ukiona hakuna habari za maendeleo hapa usifikiri hakuna kitu, tunawapa uhuru wa jukwaa!
Lakini naona kwa msemo wako huu unatupa go ahead, tutaanza kuweka habari za tz hapa kila siku!

Mwisho, unatamba eti maendeleo kwenu yanaonekana, haya tuonyeshe hyo ring road ya kutoka busia hadi migori iko wapi!
Hata kwa hizo section za JF zingine hamna any projects ongoing. Wacha uongo babaa kazi yako ni kupinga tuu na kutokwa povu.
 
Ndugu yangu unanishangaza, nimetizama hiyo video nimesikitika, hao jamaa Northern Kenya hakika wanaishi kama mashetani,
Jamaa anadai ilichukua siku 2 polisi kufika eneo la tukio, duh hawa middle income vipi?
Yaani Tanzania inaunganishwa kwa lami mikoa YOTE na nchi zetu zote tulizopakana nazo UG, RW, KE, Zambia, Malawi, Zote hizo zimeunganishwa kwa paved roads miaka zaidi ya 10 iliyopita,
Leo 2017 ndio kwanza mnajengewa na WB hiyo Barabara bila aibu mnafungua Uzi.
Kenya ni nchi maskini mno,
Halafu masuala ya Usafiri wa Umma na Mizigo kwa njia zote mna mengi ya kujifunza kwetu,
Jifunzeni hata kwa makampuni ya mabasi ya Abiria yanayopiga routes za Nai-Dar, au Dar Msa
Kwa hiyo video You are poor guys, very poor.
Kizungu ni shida kwako au kuelewa ndio hujaelewa ama ni wivu unakuzuia kuelewa taarifa?
 
Kizungu ni shida kwako au kuelewa ndio hujaelewa ama ni wivu unakuzuia kuelewa taarifa?
Kizungu kimetoka wapi tena wakati hapo nimeona watu wanasafiri kwa ngamia mkuu?
Kuna wazungu tena hapo?
 
Kizungu kimetoka wapi tena wakati hapo nimeona watu wanasafiri kwa ngamia mkuu?
Kuna wazungu tena hapo?
Wewe hukuweza kutofautisha nyakati ndani ya hiyo documentary ama wewe ni kiziwi?
 
Unaongelea Barbara gani? Lake victoria ring road propasal ilifanyika june 2016, ndo wakafanya public participation, design and EIA imefamyika 2017 ... Kawaida project aina hii haswaa kama pesa zinatoka world bank hua kuna issue nyingi lazma utatue ... Alafu hizo pesa za world bank si za bure, lazma ziregeshwe tena na faida juu
Hiyo hiyo ndo naiongelea! Najua public participation imefanyika hadi December 2016. Sasa shida yenu ni kuwa, kwenye nchi za wengine tukiwa tunakamilisha taratibu za kifedha, nyie mnakuja hapa jf kubwatuka kuwa hakuna kitu. So kuanzia sasa wewe na wenzio mfunge midomo wakati na sisi tunashughulikia masuala ya kifedha, maana sasa mnaujua ukweli.

Kwamba kutoka june 2016 mpaka leo December 2017 bado zinafanyika tu taratibu za kifedha. Naelewa, ninachowaasa nyie wakenya muache hiyo tabia ya kujisifu wenzenu wakiwa wanafanya taratibu za kifedha, mradi huu umewaumbua mbwembwe zenu.

Mbaya zaidi, Mkenya mwenzio alidiriki kutuaminisha hapa jf kuwa mradi huo utakamilika December 2017 kupitia uzi wake huu, ambao alitoa taarifa hiyo kutoka kwenye gazeti la huko kwenu.
Proposed Lake Victoria Ringroad

Aibu yenu, ndo maana huwa tunawaambia mnapika data maana kila mtu ana taarifa zake!. Wewe unantaarifa zako, wakati huo huo Kenya national highway authority nao wana taarifa zao! Smh!!!!!!!
 
Ndugu yangu unanishangaza, nimetizama hiyo video nimesikitika, hao jamaa Northern Kenya hakika wanaishi kama mashetani,
Jamaa anadai ilichukua siku 2 polisi kufika eneo la tukio, duh hawa middle income vipi?
Yaani Tanzania inaunganishwa kwa lami mikoa YOTE na nchi zetu zote tulizopakana nazo UG, RW, KE, Zambia, Malawi, Zote hizo zimeunganishwa kwa paved roads miaka zaidi ya 10 iliyopita,
Leo 2017 ndio kwanza mnajengewa na WB hiyo Barabara bila aibu mnafungua Uzi.
Kenya ni nchi maskini mno,
Halafu masuala ya Usafiri wa Umma na Mizigo kwa njia zote mna mengi ya kujifunza kwetu,
Jifunzeni hata kwa makampuni ya mabasi ya Abiria yanayopiga routes za Nai-Dar, au Dar Msa
Kwa hiyo video You are poor guys, very poor.
Haya mabarabara na mareli tulisha jenga na tunaendekea kijenga kwa nguvu zote, sasa ni wakati wa kujaza meli kwenye maziwa makuu, (Nyasa, Tanganyika na Victoria).
 
Wewe hukuweza kutofautisha nyakati ndani ya hiyo documentary ama wewe ni kiziwi?
Hiyo barabara mmezindua 2017 msee,
Tanzania kila wilaya imeungamishwa kwa barabara za lami miaka mingi iliyopita,
 
Hiyo barabara mmezindua 2017 msee,
Tanzania kila wilaya imeungamishwa kwa barabara za lami miaka mingi iliyopita,
Na bado mko LDC plus less GDP ?
Nothern kenya ikifunguka ndio mtaona vile GDP itapanda kwa speed kali.
 
Yaani nimetoa machozi kuona binadamu wanaishi maisha ya shida huku makaratasi yanawaeleza wao ni middle income country.
 
Kwa akili zako unadhani watu wote wana uwezo wa kupata hiyo $2 kwa siku?

Kaangalie upya tofauti ya kipato kati ya maskini na tajiri tz na ke af urudi hapa kubisha.
better,how?
watu chini ya 2$ a day mko 49per cent na kenya 33
 
Hiyo hiyo ndo naiongelea! Najua public participation imefanyika hadi December 2016. Sasa shida yenu ni kuwa, kwenye nchi za wengine tukiwa tunakamilisha taratibu za kifedha, nyie mnakuja hapa jf kubwatuka kuwa hakuna kitu. So kuanzia sasa wewe na wenzio mfunge midomo wakati na sisi tunashughulikia masuala ya kifedha, maana sasa mnaujua ukweli.

Kwamba kutoka june 2016 mpaka leo December 2017 bado zinafanyika tu taratibu za kifedha. Naelewa, ninachowaasa nyie wakenya muache hiyo tabia ya kujisifu wenzenu wakiwa wanafanya taratibu za kifedha, mradi huu umewaumbua mbwembwe zenu.

Mbaya zaidi, Mkenya mwenzio alidiriki kutuaminisha hapa jf kuwa mradi huo utakamilika December 2017 kupitia uzi wake huu, ambao alitoa taarifa hiyo kutoka kwenye gazeti la huko kwenu.
Proposed Lake Victoria Ringroad

Aibu yenu, ndo maana huwa tunawaambia mnapika data maana kila mtu ana taarifa zake!. Wewe unantaarifa zako, wakati huo huo Kenya national highway authority nao wana taarifa zao! Smh!!!!!!!
Wewe acha zako, unasoma taarifa na pressure, hebu rudi ukaisome vizuri hio taarifa, Design ya hio Barbara ndo inakamilika Dec2017 , soma vizuri hapo nimehilight
wp_ss_20171228_0003.png
wp_ss_20171228_0004.png

Kwahivyo hio stori umjitungia mwenyewe na data zilizo akilini mwakobpekee.

Tofauti ya Wakenya na WaTz ni kwaba sisi hua hatupgi kelele nyingi kama project haijaanza,pale picha zikianza kutoka ndo tunaanza kelle za misifa, lakini watanzania huanza kujipiga kifua wakati project iko feasibility study, utaskia, 'hamtuwezi tena, tumewapiku,mtaisoma number" kwa mfano project kama SGR ya kwendakampala uganda,mmeogelea sana mpaka psychologically ni kama ujenzi ulisakamilika, by the time picha zinaanza kutoka za ujenzi wenyewe, inakua tulishaongelea kila kitu hamna la kusema, inabidi muanze kurudia yale mlishasema wakati siisi hatuna la kusemaanake tulishasema tuliotaka kusema.
 
Tulifungua nyuzi nyingi sana za mambo makubwa yanayofanyika Kisumu, sema huoni wala husikii.
Kwanza Kisumu inakuja kuwapa ushindani mkubwa sana nyie wa Kolominje, itakua kitovu cha biashara ukanda huu.
SGR inatua hapo Kisumu ambapo kunajengwa bandari kubwa sana itakayo wanufaisha watu wa Mwanza, Kagera, Uganda, Rwanda, Burundi n.k.
si kejeli ila naomba unieleweshe potentuality au advantage iliyonayo kisumu kuliko mwanza ambapo hiyo project italeta difference kubwa hadi kuifanya kisumu kuwa business hub ya lake regions maana ukiingalia population na ukubwa wa jiji , sidhani kama kisumu inafika hata robo tatu ya mwanza , kingine mwanza inacontrol lake zone kwa upande wa Tanzania ambayo ina zaidi ya watu 15 m wakati kisumu ni kama mtoto wa nairobi ..

vipi ni bidhaa gani zimekuwa targeted kufika huku ambayo kumeonakana kuna demand na hakuna close substitute kwa bandari ya dar na tanga (ipo katika upanuzi) ????.....

kumbuka hata sgr ya Tanzania inatarget kufika mwanza mapema plus kama bandari ya Tanga ikipanuliwa kama inavyokadiriwa then ukanda wa kaskazini utarudi Tanzania kibandari....

bado kuna ujenzi wa international airport ambayo itaserve ukanda huu na kwa geographical advantage naona kama kisumu itapata tabu sana kuiondoa supremacy ya mwanza na kama huamini bhasi anza kuifuatilia mwanza maana hata ukuaji wake ni mzuri plus its contribution to national Gdp ni nzuri na ndio kubwa next to dar
 
Hii project yenu ambayo iko full funded na world Bank, ilikuwa ujenzi wake ukamilike December 2017,

Unaweza kutupa sababu za kina kwa nini Ujenzi huo hata haujaanza (achilia mbali kukamilika) na sasa unapelekwa mbele hadi Q4 2018?
Hahaha,mipovuu ya omo yarindima😀
 
A
Afadhali uwe na deni ma uishi maisha Mazrui kuliko uwe hauna deni na unateseka. Madeni yote hayo yatakuja jilipia yenyewe maisha ya wananchi yakiboreka itakua ni wengi zaidi wanaolipa kodi kwa serekali ili kuwezesha madeni kulipwa.

Ya Isiolo mpaka moyale $500m imeshakamilika.

Ya lamu - Garissa hadi Isiolo ndo tender imetangazwa.

Ya Isiolo hadi nadapal/nakodok border ya S.Sudan $450m 400km ujenzi umeanza.
Ujenzi wa Barbara ya isiolo to S.sudan
View attachment 661685 View attachment 661688 View attachment 661689 View attachment 661690 View attachment 661691

Maendeleo yetu ya project huku yanaskika na kuonekana, sio kelele na maneno mengi tu kama watu wengine. Mbali na ukosefu wa amani, rushwa ya hali ya juu, ukabila....lakini hivyo hivyo bado tunazidi kuchana mbuga, sijui Kenya ingekua wapi kama tungetatua hayo maovu
hapa hakuna kupita kwa m7...
 
Back
Top Bottom