Kasma ya Road Fund: Kwanini Magufuli siyo mkweli?

Kasma ya Road Fund: Kwanini Magufuli siyo mkweli?

NasDaz hiyo khoja ya sita inabidi iende sambamba na hoja ya 4..........Ni jukumu la serikali kutoa mikopo kwa makandarasi wake na vitendea kazi ili kuongeza ushindani katika zabuni zake ambapo kwa kufanya hivyo gharama za ujenzi zitashuka sana na kuhakikisha kazi zinakuwa na ubora wa kuridhisha.
Hili la kazi kufanywa na kampuni za hapa nyumbani mie naliunga mkono sana; tatizo langu ni jinsi ya kutekeleza suala hilo!! Lakini kama uamuzi ungekuwa ni wangu mimi, hilo la kutoa mikopo kwa local contractors lingenipa shida kidogo kulifanyia maamuzi ya mara moja! Hata hivyo, ningekuwa serikali nazani ninge-opt kuanzisha a very big construction company ambayo share zake zitakuwa owned na one of our army, especially JKT if not JWTZ. Hawa ningehakikisha wanapata upendeleo katika government projects. Hata hivyo, plan ingekuwa ni kuhakikisha kila mradi unafanywa kwa ushirikiano baina ya serikali/JKT na one or more local contractor.....yaani some sort of PPP btn local contractor na JKT kwenye miradi ya serikali! Terms zingetengenezwa za nani anatakiwa ku-offer nini na atapata nini kwenye the said project!! Hata hivyo, the main project financier hapa mara nyingi kama sio zote anatarajiwa kuwa government/JKT.

Aidha, katika ushirikishaji wa local contractors hapa ungeangalia yote, uwezo na uwakilishi! Say kama kuna 10 local contractors ambao wana uwezo, at least wa ku-offer human power, basi hawa wangekuwa kila mmoja anashirikishwa kwa mradi mmoja kutegemeana na available projects.
 
Hili la kazi kufanywa na kampuni za hapa nyumbani mie naliunga mkono sana; tatizo langu ni jinsi ya kutekeleza suala hilo!! Lakini kama uamuzi ungekuwa ni wangu mimi, hilo la kutoa mikopo kwa local contractors lingenipa shida kidogo kulifanyia maamuzi ya mara moja! Hata hivyo, ningekuwa serikali nazani ninge-opt kuanzisha a very big construction company ambayo share zake zitakuwa owned na one of our army, especially JKT if not JWTZ. Hawa ningehakikisha wanapata upendeleo katika government projects. Hata hivyo, plan ingekuwa ni kuhakikisha kila mradi unafanywa kwa ushirikiano baina ya serikali/JKT na one or more local contractor.....yaani some sort of PPP btn local contractor na JKT kwenye miradi ya serikali! Terms zingetengenezwa za nani anatakiwa ku-offer nini na atapata nini kwenye the said project!! Hata hivyo, the main project financier hapa mara nyingi kama sio zote anatarajiwa kuwa government/JKT.

Aidha, katika ushirikishaji wa local contractors hapa ungeangalia yote, uwezo na uwakilishi! Say kama kuna 10 local contractors ambao wana uwezo, at least wa ku-offer human power, basi hawa wangekuwa kila mmoja anashirikishwa kwa mradi mmoja kutegemeana na available projects.

NasDaz hayo mawzo tuliyajaribu kupitia MECC na hata JKT iko kwenye huo ubabaishaji lakini simulizi iko pale pale tatizo mmiliki ni nani? Matatizo ya miliki ndiyo yanaua uwajibikaji na kila mtu kijifanyia atakavyo.....................Amini wataalamu wako mbona nchi nyingine zinafanza hivyo?
 


3) Wakati Magufuli akiropoka utapeli tajwa wakati huohuo
TANROADS ilikuwa inatoa kazi lukuki kwa kampuni za kigeni kwa malipo ya ROAD FUND na hivyo kufanya kauli zake kuwa ni za kitapeli na sijui anamtapeli nani?



Mkuu Rutashubanyuma nadhani hapo umekosea kidogo. Mimi nimewahi kufanya utafiti fulani kwenye mambo ya barabara na kugundua kwamba asilimia 99% ya pesa za Road Fund huwa zinaenda kwa wakandarasi wazawa kupitia miradi ya matengenezo ya barabara yaani Road maintenance. Hapa inatakiwa utofautishe kati ya Roads maintenance activities (ukarabati) ambayo ni miradi inayokuwa financed na Roads Fund (Road toll) na Roads Construction/Rehabilitation ambayo ni miradi inayokuwa financed na pesa ambazo si za roads fund (road toll). utafiti wangu ulionyesha kwamba miradi ya ujenzi wa barabara ndiyo ambayo hutekelezwa na wakandarasi wa kigeni kwa asilimia 90 na pesa zake siyo za Roads Fund. Rudi kwenye drawing table uangalie vizuri juu ya hizo tofauti.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rutashubanyuma nadhani hapo umekosea kidogo. Mimi nimewahi kufanya utafiti fulani kwenye mambo ya barabara na kugundua kwamba asilimia 99% ya pesa za Road Fund huwa zinaenda kwa wakandarasi wazawa kupitia miradi ya matengenezo ya barabara yaani Road maintenance. Hapa inatakiwa utofautishe kati ya Roads maintenance activities (ukarabati) ambayo ni miradi inayokuwa financed na Roads Fund (Road toll) na Roads Construction/Rehabilitation ambayo ni miradi inayokuwa financed na pesa ambazo si za roads fund (road toll). utafiti wangu ulionyesha kwamba miradi ya ujenzi wa barabara ndiyo ambayo hutekelezwa na wakandarasi wa kigeni kwa asilimia 90 na pesa zake siyo za Roads Fund. Rudi kwenye drawing table uangalie vizuri juu ya hizo tofauti.

Mwenyewe Magufuli alidai kuanzia sasa khali itabadilika kwa hiyo wataka kusema magufuli mwongo? Hebu toa michanganuo ya kiasi cha fedha za Road Fund. Ingelikuwa usemavyo ni kweli pangekuwa hakuna uhaja wa kusema makandarasi wazawa waungane..........ili waweze kufikiriwa kazi za Road fund ambazo nyingi huishia kwa wageni.
 
Mwenyewe Magufuli alidai kuanzia sasa khali itabadilika kwa hiyo wataka kusema magufuli mwongo? Hebu toa michanganuo ya kiasi cha fedha za Road Fund. Ingelikuwa usemavyo ni kweli pangekuwa hakuna uhaja wa kusema makandarasi wazawa waungane..........ili waweze kufikiriwa kazi za Road fund ambazo nyingi huishia kwa wageni.

Mkuu nisemayo nina hakika nayo. Mpango niliousikia ni kuwaunganisha wakandarasi wazawa ili waweze kupata kazi kubwa kubwa za ujenzi wa barabara (roads construction/rehabilitation) ambazo huwa zinakuwa financed na consolidated fund. Hii ni miradi mikubwa ya ujenzi ambayo nadhani zomba anaijua vizuri. Ukiongelea Roads Fund unaongelea ring fenced funds kwa ajili ya matengenezo ya barabara yaani roads maintenance activities ambayo yanahusu Routine/recurrent maintenance, periodic maintenance na spot improvement. Roads maintenance siyo miradi mikubwa ni miradi midogo midogo na ni kwa kila mwaka; hii inakuwa kama recurrent expenditure lakini miradi ya ujenzi wa barabara ama upgrading huwa ni miradi mikubwa na ni capital expenditure. Roads fund huwa haiko kwenye capital expenditure yenyewe huwa ni recurrent expenditure.

Mkuu siamini kama waziri alisema kwamba waungane ili waweze kufikiriwa kwa ajili ya miradi ya roads fund; kwa mujibu wa vyombo vya habari alisema pesa za roads fund zitumike kuwapa kandarasi makandarasi wageni (hapa huenda alikuwa anaongelea ile 1%).
 
Mkuu nisemayo nina hakika nayo. Mpango niliousikia ni kuwaunganisha wakandarasi wazawa ili waweze kupata kazi kubwa kubwa za ujenzi wa barabara (roads construction/rehabilitation) ambazo huwa zinakuwa financed na consolidated fund. Hii ni miradi mikubwa ya ujenzi ambayo nadhani zomba anaijua vizuri. Ukiongelea Roads Fund unaongelea ring fenced funds kwa ajili ya matengenezo ya barabara yaani roads maintenance activities ambayo yanahusu Routine/recurrent maintenance, periodic maintenance na spot improvement. Roads maintenance siyo miradi mikubwa ni miradi midogo midogo na ni kwa kila mwaka; hii inakuwa kama recurrent expenditure lakini miradi ya ujenzi wa barabara ama upgrading huwa ni miradi mikubwa na ni capital expenditure. Roads fund huwa haiko kwenye capital expenditure yenyewe huwa ni recurrent expenditure.

Mkuu siamini kama waziri alisema kwamba waungane ili waweze kufikiriwa kwa ajili ya miradi ya roads fund; kwa mujibu wa vyombo vya habari alisema pesa za roads fund zitumike kuwapa kandarasi makandarasi wageni (hapa huenda alikuwa anaongelea ile 1%).

Waziri nilimsikia kwa masikio yangu akizungumzia Road Fund kuwa sasa ni sera ya serikali kuwa sehemu kubwa ya pesa hiyo ielekezwe kwa wazawa. Suala hapa siyo wewe unaaamini lipi bali Waziri aliongea lipi!
 
"Khoja ya kuwa kampuni za kizalendo hazina mitaji"
Iyo hoja ni ya Kihuni maana China inayawezesha makampuni yake to the extent ya kuwapa ela ili wakishinda tena walete wachina na vifaa toka China hence unacreat ajira na kugain forex kama inchi maana D9,excavator,winch etc vyote vitatoka china.
Hakuna wa kuwatetea wahandisi wa ndani ya inchi
 
Back
Top Bottom