Kasoro kubwa nilizoziona katika ujenzi wa uwanja wa KMC Complex

Simba pale bunju wana kapeti nzuri tu ni swala la kusimika tu hata jukwaa la mabua nimeuangalia uwanja wa Jkt na huo wa kino boys tofauti na ule wa bunju ni mafundi welding kuingia mzigoni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ni kweli unalosema ila nadhani kuna mipango inasukwa ya kujenga uwanja mkubwa zaidi pale. Labda inaonekana wakianza size hii itakuwa matumizi mabaya ya rasilimali.

Ukijenga uwanja wa size hii inabidi uupe hata miaka 10 ndiyo uufanyie maboresho kama walivyofanya Azam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ